Traffic huyu kiboko 2017

kidaganda

JF-Expert Member
Aug 26, 2013
2,991
2,564
Ofisa mmoja wa trafiki alikuwa akikagua assignment za wanawe wawili. Aliangalia daftari la mkubwa na baada ya muda akaanza kumfokea kwa kufanya makosa ya kipuuzi.
Baadae akachukua daftari la mdogo na kulifungua, bila kusema neno, akalirudisha na kuondoka.
Yule mtoto mkubwa akamuuliza mdogo wake; "Ndo tuseme una akili kiasi hicho? Kwanini baba hajakufokea?!"
Yule mdogo akasema: "Niliweka noti ya elfu kumi kwenye daftari langu! Wewe umesahau kwamba baba ni trafiki!"
 
Back
Top Bottom