Hayo sio matrekta ni kanya boya. Yanakunywa mafuta zaidi ya V8.
Hakuna matrecta hapo kwa bei hata ubora kwa sisi tunaolima estates,ni heri ukanunua marsey furgason used kuliko hayo ya jkt mapya.waulize wakulima wa uyole/ubaruku kwa nini wameendelea kukomaa na powertiler zilizofungwa mashine ya amec ya kupasulia mabo na kusagia,na kwa nini engine zinazokuja na hzo powertiler wanaondoa wanaweka armec?
Hii nayo kali ehh leteni habari!