Habari za asubuhi wandugu,
Nafanya kazi kama Computer System Analyst,
Just few minutes nimesoma memo, My boss want me to trace kama kuna mtu ame copy document from his flash Disk. Amenipatia hiyo flash so that Ni analyse and nimweleze ni document ipi and how many times has it copied by unknown person.
Please guys im stack, Any help will be appreciated.
Kwetuni kwetu, Baba Enock & rest of Members,
Mniwie radhi wa kutokuwa sahihi (that being a break news).
Pili asanteni kwa majibu cause nimeelewa kuwa si kitu rahisi sana kujua kama documents zime kuwa copied kwenye flash...........is out of curiosity anadhani kuna mtu ame copy, sitegemei kama ana-share flash disk yake.........
Ikitokea mtu ana msaada zaidi (about the tracing) utanisaidia kuongeza uelewa.
Habari za asubuhi wandugu,
Nafanya kazi kama Computer System Analyst,
Just few minutes nimesoma memo, My boss want me to trace kama kuna mtu ame copy document from his flash Disk. Amenipatia hiyo flash so that Ni analyse and nimweleze ni document ipi and how many times has it copied by unknown person.
Please guys im stack, Any help will be appreciated.
Kwetuni kwetu, Baba Enock & rest of Members,
Mniwie radhi wa kutokuwa sahihi (that being a break news).
Pili asanteni kwa majibu cause nimeelewa kuwa si kitu rahisi sana kujua kama documents zime kuwa copied kwenye flash...........is out of curiosity anadhani kuna mtu ame copy, sitegemei kama ana-share flash disk yake.........
Ikitokea mtu ana msaada zaidi (about the tracing) utanisaidia kuongeza uelewa.
Habari za asubuhi wandugu,
Nafanya kazi kama Computer System Analyst,
Just few minutes nimesoma memo, My boss want me to trace kama kuna mtu ame copy document from his flash Disk. Amenipatia hiyo flash so that Ni analyse and nimweleze ni document ipi and how many times has it copied by unknown person.
Please guys im stack, Any help will be appreciated.
TAFUTA PROGRAMU MOJA INAITWA USB Trace hiyo itaweza kukufanyia kazi hiyo pia unaweza kuamua kulock Port za komputa husika - Kama uko Dsm nicheki PM nikupe mchana huu
USB Trace haiwezi kusaidia kupata "HISTORY"!
Hata Uki-install hiyo program bado BOSS wako ataendelea kuwa "pain-in-the-a.s.s" . Labda going forward - na ni lazima iwe deployed kwenye "WORKGROUP/DOMAIN" na siyo on a single node!
Mwambie BOSS - It is simply not possible! FULL STOP - Kama ni kuandaa CV yako anza sasa
h.a,ha,haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,teh teh yaani nilikua nawazaIna maana siku hizi nikikupa kazi za kiofisi unazipeleka JF nakuziita "habari zilizovunjwa/vunjika"? Tafadhali njoo ofisini na hio flash haraka.
Kumbe kazi huwezi unategemea msaada?
Fungua flash. Go to View > Details . Yatajipanga mafaili na mafolder. Right-click juu ya row ya Name. Utakuta baadhi ya options ziko checked (zimewekewa alama ya vema) kama vile Size, Type, Date Modified etc (PICHA A). Nakushauri uondoe hiyo check kwa zote ubaki na Name tu (PICHA B). Baada ya hapo nenda chini utakuta option ya More... Click hapo kwenye More na utapata PICHA C. Utakapopata hiyo check (weka vema) katika kibox cha Date Accessed, then OK. Mafaili yatajipanga na kuonyesha tarehe yaliyoguswa (accessed). Bosi wako akueleze yeye aliya access lini ili uone file lenye tarehe tofauti na ya bosi wako.
ASSUMPTION: Ninaassume unatumia Windows OS, na pia hakuna aliyeyafaccess mafaili baada ya flash kupatikana kutoka kwa "mwizi" wenu. Hii sio 100% solution, ni yangu tu na wengine pia mnakaribishwa.