TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Ilitakiwa ucheke baada ya kujiridhisha kuwa kweli TRA wamepeleka madai ya kodi kwa ACACIA ama la. Sasa hivi si unachekwa sasa!Nimeishia kucheka tu
Kampuni haijasajiliwa ila inapokea assessment ya kodi. Kampuni hewa ila TRA wana data zake!!!!!!!!...
Wadau please,nataka kujua net worth ya barrick gold corporation wamiliki wa acacia,shukrani
Nenda kwenye website ya acacia ujionee mwenyewe.Aliyepewa notice ni Buly na Buzwagi. Notice haikutumwa Acacia London. Jamaa wa Barrick alisikitika Acacia kutokuwa sehemu ya negotiations. Sasa unaongelea Acacia gani?
Sometimes it important to stop living in the world of fantasy....and come to the world of reality.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mnapotosha? Waliotaarifiwa ukwepaji kodi ni Bulyanhulu Gold Mine Limited (“BGML”) and Pangea Minerals Limited (“PML”). ACACIA hatuwatambui. Muelewe hivyo.
Kutangaza kwamba tumeibiwa kiasi hicho ni aibu, harafu Mwizi unamwomba aje mzungumze.
Jamani tuache Siasa, Mikataba mibovu tumesaini, Sheria mbovu tumetunga, Hivi walio Saini hiyo Mikataba na kutunga Sheria mbovu tunawaachaje?
Yaani wizi wa Tirioni 508 tunauongelea kama tumeibiwa Buku? kwanza huu wizi upo kweli au Siasa tu, unajua hapa napata wasiwasi, Kama kweli wizi huu upo harafu tunauongelea kwenye majukwaa ya Siasa napata wasiwasi sana.
Kama Raisi anania ya kuikomboa Nchi hii, asibague Wezi, Mwizi ni mwizi haijarishi alishakuwa nani Nchi hii, na ukibagua huwezi kupata Chanzo cha Wizi, Kama Wizi Mkubwa kama huu ulifanyika na Maraisi walikuwepo, Mawaziri walikuwepo, Makatibu wakuu walikuwepo, Wanasheria walikuwepo, kwanini uhangaike na Mwizi mwenyewe pekeyake? cha ajabu Mwizi huyu ana Document anaonyesha na kusema mimi sijaiba, unamwachaje aliyempa hizo Document?
Kama TRA kweli wanadai Kodi yote hii walikuwa wapi? Yani Mgodi haulipi Kodi miaka zaidi 18? kweli? na mmewezaje kujua kama Kodi mnadai kiasi hicho wakati mlisema hawajasajiriwa? Mwizi anajulikana vipi kaiba kiasi hicho bila kupitisha Mzigo alioiba mikononi mwenu?
Kati ya Serikali na ACACIA nani Mwizi? mbona mbona naona kama kuna umoja hapa wa kuiba?
Serikali na ACACIA wote ni wezi ila naona wamedhurumiana sio bure.
tutajua tu mwisho.
maana kila kesho kunaibuka Movie mpya.
Sooner than anyone would expectCcm ikiwà hai au baada ya ccm kufukiwa?
The net worth (Market Capitalization) of Barrick Gold is 16.5 biilions US dollar as of today.
ABX: Summary for Barrick Gold Corporation - Yahoo Finance
Thamani ya Acacia Mining ni 667 millions British Pounds (870 millions USD) today
acacia mining total market capitalisation - Google Search
Leo Acacia wamepoteza 10% (67 millions GBP) of their value so far and 40% over the last five days. It is matter of time before this company become almost worthless.
kweri hatari sana. unajua unabishana na mtu humuoni wala humufahamu. unaweza kazana elewesha mtu ambaye hana uwezo wa kuelewa yale unayomwelekezaNenda kwenye website ya acacia ujionee mwenyewe.
Kumbe humu JF unaweza jikuta unabishana na watoto wa secondary.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Acacia sio public company.turudi shule kidogo tuone tofauti ya public and private companies.naludia tena kusema ACACIA IS PUBLIC COMPANY. Mkuu public company haina maana inamilikiwa na serikali fulani bali ni namba ya share holder ndiyo inaweza ifanya kuwa public au private. soma types of company google. na siyo ubishe tu. na ndiyo maana unaweza nunua share hata wewe ukihitaji.
Wewe ni muongo usiongopee watu hakuna kitu kama hicho ndege iliyokua inatua pale ni dash 8 design ya bombadier ndipo serikali mkawakataza saivi vinatua vi chattle madini yanabebwa kwa helcopter acha uongoNiamini ndugu yangu. Haya niliyosema niliyashuhudia mwenyewe kwa macho yangu nilipotembelea mgodi wa BGM miaka kadhaa iliyopita. Hiyo runway ya ndege iliyopo mgodini hapo ni ndefu kuliko ile ya Dar (JNIA). Hayo ma cargo planes ya Urusi ni makubwa mithiri godown kubwa na hufunguliwa kwa nyuma. Huruka moja kwa moja toka ulaya hadi BGM bila kutua sehemu ye yote. Yakishajazwa dhahabu huruka moja kwa moja hadi kwenye migodi yao ya DRC kujaza mafuta na baada ya hapo huruka direct hadi ulaya. Yalikuwa ni madege manne kwa siku. Yaani nilikuta limoja linajazwa mawe ya dhahabu likiwa limefunuliwa mlango wake wa nyuma, na dege jingine la aina hiyo hiyo likiwa lime park uwanjani hapo likisubiri zamu yake kujazwa dhahabu!
Wazungu wa mgodi huo hawana makazi mgodini hapo. Wao makazi yao yako Dar es Salaam maeneo ya uzunguni (Osterbay, Masaki na sehemu kama hizo). Huja mgodini kwa kutumia ndege zao za jet engines ambazo idadi yake haipungui 5 na hutumia saa moja tu toka Dar hadi kwenye mgodi wao wa BGM. Yaani akitoka Dar saa 1 asubuhi by saa 2 asubuhi anakuwa yuko mgodini. Hutoka mgodini saa 12 jioni na by saa moja usiku wanakuwa wako nyumbani kwao Dar!!. Pale mgodini hukaa ma surbodinates wao tu ambao ni watanzania wenzetu waliopewa kazi ya kulinda masilahi ya hawa wenye migodi ikiwa ni pamoja na kuwa spokesmen wao kama wanavyofanya humu mitandaoni na sehemu zingine. Huu ndiyo ukweli. Tanzania ina dhahabu nyingi sana. Hata ile inayovunwa tu na wachimbaji wadogo wadogo tungekuwa tuna utaratibu wa kuikusanya pamoja ingeweza jaza dege moja la aina hiyo kwa siku.
unachoongea ni kweli mkuu,kunaweza kuwa na mapungufu sekta zote tra na hao wanasiasa wanao pinga hayo maamuzi "ILA NAAMINI SANA UPANDE WA SERIKALI KWA SABABU,HAO HAO AKINA LISU WALITUAMINISHA WAGENI WAMEPUNGUA KWENYE UTALII,BUT WHAT HAPPEN " Sasa kwa sie tusio na taaluma inabidi tu relay kwa serikali kwa hio simple fact.Siasa imeingilia taaluma. Inahuzunisha lakini wajinga wanamshangilia.
Watu hawaelewi hii inaharibu vipi uchumi kwenye sekta ya uwekezaji.
Taasisi kama TRA inategemewa kuwa objective kwenye makadirio ya kodi kwa kutumia taaluma na si siasa.
Leo Kamishna anaweka taaluma pembeni kufurahisha mwanasiasa. Kuna mwekezaji atakuja? Hao waliopo watabaki?
Ni suala la muda tu ila uchumi wa nchi unaenda kuanguka. Visingizo vitakuwa vilevile mabepari wanatukwamisha kama Zimbabwe na Venezuela.
Wajinga wanamshangilia.
ume analyze vizuri ila Ninashaka na wwNimeishia kucheka tu
Kampuni haijasajiliwa ila inapokea assessment ya kodi. Kampuni hewa ila TRA wana data zake!!!!!!!!
Report ya kamati ya Rais inasema wanadaiwa $108b, TRA nao wanasema kutokana na iyo report ni $204b. Whichi is which?????????????
Kinachoniuma hapa ni kuwa watz tunapumbazwa na propaganda za makinikia wakati kitu pure kinapaa na ndege. Kama kuibiwa ni kweli tumeibiwa na tunaendelea kuibiwa kwa hisani ya usanii wa CCM.
$204billion ni kama 420trilion Tsh. Hii ni budget ya TZ miaka 15. Kama walikuwa wanalipa kodi isiyozidi 15% inamaana hawa jamaa walikuwa wametengeneza zaidi ya $900 billion from Tanzania ndani ya miaka 17. Na hapa acacia ni branch tu ya Barrick. Hii pesa tungekuwa tunalipwa, hivyo basi kodi ya Acacia ingetosheleza kufinance budget yetu ya miaka 17 iliyopita. Yani Watanzania tungekuwa hatulipi kodi wala kuomba mkopo. Yan ni kupokea kodi tu toka acacia na sisi tungekula tu bata. Pia usisahau kuna Migodi mingine mikubwa kama ishirini.
Kumbuka pia acacia ni moja tu ya Gold mine company in Tanzania. Kuna mgodi mikubwa unaomilikiwa na AngloGold& Ashant kama bonge la openi pit lile la "Geita Gold Mine(GGM)' lililoanza operation toka mwaka 2000. Kwa pesa tunayowadai acacia, kama Geita Gold mine nao wangekuwa wanalipa kodi iyo, bac Tanzania ingekuwa na uwezo wa kupokea zaidi ya $10billion kutoka katika iyo migodi miwili tu. Hata budget yetu tungekuwa tunaongelea zaidi ya Trillion 50 kwa mwaka.
Ki uhalisia, GGM kodi yao haifiki $300m kwa mwaka. Nakumbuka mwaka 2015 GGM walivyopandishiwa kodi kufikia 4% kwa mraba kulikuwa na utata kidogo maana ilikuwa walipe karibu $200m kwa mwamka ila acacia ndyo waliokuwa wakwanza kukubali kulipa ndipo GGM na wengine wakafyata mkia.
Sasa kama GGM kodi yao haifiki $300m, inakuaje Acacia ndyo wanatakiwa kulipa mara 20 yake kwa mwaka? Yani zaidi ya $4b kwa mwaka na hapo bado penalty!!!!!!!!!!
Labda ACACIA uzalishaji wao ni mkubwa kuzidi GGM, Ila probable gold reserves and other resources katika migodi mitatu ya acacia(north Mara, buzwagi na bulyanhulu) haizidi 22m oz. Na average production per year haizidi 700,000 oz per year kutoka kwenye migodi mitatu. Geita gold mine mwaka 2015 iliweza vunja record na kuzalisha 527,000 oz of gold. Ambapo kodi ilikuwa around $200m.
Ikiwa kweli acacia wanatuibia na iyo ndyo pesa wanayopaswa kutulipa, basi hata na GGM wanatuibia sana sambamba na migodi mingine.
Tanzania ni nchi ya 4 duniani kwa kuzalisha Gold. Tanzania imekuwa ikizalisha Gold yenye value isiyozidi $1.5billion kwa mwaka. Ila kwa kodi tu tunayoidai acacia ni kuwa mgodi mmoja uliweza kutoa gold yenye thamani zaidi ya $70billion kwa mwaka.
South Africa NI nchi inayoongoza katika uzalishaji wa Gold. Lakini haijawai zalisha gold yenye value inayofikia $4billion kwa mwaka. Kwa maana hiyo, kwa data wanazotumia TRA, Tanzania inabidi ndyo iwe nchi inayoongoza uzalishaji wa gold na ipewe Guiness Award kwa kuvunja record ya kuzalisha Gold nyingi kiasi kuwa hata dunia nzima haikuwai zalisha.
Inabidi ifikie atua watu wazima waache kufanya maigizo ya kitoto aseeee. Watanzania sio wajinga to that extent. Huwezi badili million kuwa billion kirahisi hivyo.
Siku acacia wakilipa hata 10% ya ilo deni, mimi nitatembea uchi toka kibiti hadi kariakoo. I swear.
Sent using Jamii Forums mobile app