Nakubali, sema duniani kila mtu ana fikra/ mitizamo tofauti.
MAWAZO YA KITAA/ WANA ukisikiliza both yana nafasi sawa ila namna utakavyo yatafsiri na kuyaweka kwenye uhalisia wa maisha yako binafsi ili yalete nguvu changa hapo ndo utagundua kipi kilikuwa sahihi/ si sahihi.