live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 790
- 1,265
Nahisi mafisadi wanazidi kuzikamata sector muhimu za serikali na kuziamrisha
Kinachoonekana ni njia ya kuhakikisha mzigo wa machine za EFD unaisha ili walete mzigo mwingine
Vigezo na mashariti kuhusu kuwa na machine za EFD kwa wafanya biashara vipo ila wamevufinika na kuwalazimisha watu wanunue machine za EFD wakati biashara zao hazina uwezo huo
Na kibaya zaidi waliofungiwa wote walikadiriwa kodi na TRA za wilaya zao na wanalipa kodi kila kota
Lakini hao wanaofunga maduka wanasema wao wanatoka HQ hivyo haijalisha wewe mfanya biashara una uhusiano gani na TRA ya wilaya yako
Nchi imekuwa ngumu sana na kwa mwenendo huu wapinzani wakijipanga vizuri watachukua nchi maana sidhani kama watu watapenda kuishi katika nchi yao kama wakimbizi
Kinachoonekana ni njia ya kuhakikisha mzigo wa machine za EFD unaisha ili walete mzigo mwingine
Vigezo na mashariti kuhusu kuwa na machine za EFD kwa wafanya biashara vipo ila wamevufinika na kuwalazimisha watu wanunue machine za EFD wakati biashara zao hazina uwezo huo
Na kibaya zaidi waliofungiwa wote walikadiriwa kodi na TRA za wilaya zao na wanalipa kodi kila kota
Lakini hao wanaofunga maduka wanasema wao wanatoka HQ hivyo haijalisha wewe mfanya biashara una uhusiano gani na TRA ya wilaya yako
Nchi imekuwa ngumu sana na kwa mwenendo huu wapinzani wakijipanga vizuri watachukua nchi maana sidhani kama watu watapenda kuishi katika nchi yao kama wakimbizi