lord atkin
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 205
- 769
TAARIFA KWA UMMA
UFAFANUZI KUHUSU KODI YA PANGO
Dar Es Salaam, 25 Agosti, 2022:
Mamlaka ya mapato ya Tanzania (TRA) inapenda kutoa ufafanuzi kuwa Kodi ya pango hulipwa kama Kodi ya zuio inayotokana na mapato ya pango la nyumba Kwa asilimia 10
Tunaenda kuwahamisha watanzania kuwa Kodi hii si mpya bali wigo umeongezwa Ili wapangishaji wa nyumba binafsi wenye pato linaloanzia shilingi 500,000/= Kwa mwaka na kuendelea wamejumuishwa kwenye wigo wa Kodi kuanzia Julai mosi 2022.
Mwenye nyumba atapata cheti Cha Kodi ya zuio kama ushahidi wa malipo ya Kodi iliyolipwa kutokana na zuio la asilimia 10
Kwa maelekezo zaidi wasiliana nasi Kwa namba za bure;
0800-750075 au 0800-780078 au Whatsapp namba 0744-233333
"Pamoja tunajenga Taifa letu"
Imetolewa na;
IDARA YA HUDUMA NA ELIMU KWA MLIPAKODI
UFAFANUZI KUHUSU KODI YA PANGO
Dar Es Salaam, 25 Agosti, 2022:
Mamlaka ya mapato ya Tanzania (TRA) inapenda kutoa ufafanuzi kuwa Kodi ya pango hulipwa kama Kodi ya zuio inayotokana na mapato ya pango la nyumba Kwa asilimia 10
Tunaenda kuwahamisha watanzania kuwa Kodi hii si mpya bali wigo umeongezwa Ili wapangishaji wa nyumba binafsi wenye pato linaloanzia shilingi 500,000/= Kwa mwaka na kuendelea wamejumuishwa kwenye wigo wa Kodi kuanzia Julai mosi 2022.
Mwenye nyumba atapata cheti Cha Kodi ya zuio kama ushahidi wa malipo ya Kodi iliyolipwa kutokana na zuio la asilimia 10
Kwa maelekezo zaidi wasiliana nasi Kwa namba za bure;
0800-750075 au 0800-780078 au Whatsapp namba 0744-233333
"Pamoja tunajenga Taifa letu"
Imetolewa na;
IDARA YA HUDUMA NA ELIMU KWA MLIPAKODI