Madam vivian original
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 503
- 998
Wakuu habari za weekend,
Aisee nimesota sana kulogin JF sijui kwanini imekuwa tabu sana kuingia imebidi nifungue I'd nyingine ili nipate kuwasiliana na marafiki zangu. Aiseee nimewamiss mno.
Turudi kwenye mada
Wakuu nimeamua kujichanga nimefungua biashara yangu ya salon ya kike, japo salon yenyewe ni ya kawaida sana, nina binti anajua kusuka sana nikaona ngoja nimuekee hata drayer moja, wakija wakuosha awe anawakausha.
Basi bwana nikasema ngoja niende TRA nikapate tin no, ndo kasheshe lilipoanzia wamenikadilia kodi kubwa na inabidi niilipe kabla ya tarehe 30 DEC.
Wakuu nimechanganyikiwa mpaka sasa sijapata hata mteja wa kuosha zaidi ya wale wanaosuka nywele za mkono.
Nawaza sijui nirudishe hiyo TIN no yao nifunge biashara maana watanifunga jamani.
Naomba ushauri nifanyaje jamani
Aisee nimesota sana kulogin JF sijui kwanini imekuwa tabu sana kuingia imebidi nifungue I'd nyingine ili nipate kuwasiliana na marafiki zangu. Aiseee nimewamiss mno.
Turudi kwenye mada
Wakuu nimeamua kujichanga nimefungua biashara yangu ya salon ya kike, japo salon yenyewe ni ya kawaida sana, nina binti anajua kusuka sana nikaona ngoja nimuekee hata drayer moja, wakija wakuosha awe anawakausha.
Basi bwana nikasema ngoja niende TRA nikapate tin no, ndo kasheshe lilipoanzia wamenikadilia kodi kubwa na inabidi niilipe kabla ya tarehe 30 DEC.
Wakuu nimechanganyikiwa mpaka sasa sijapata hata mteja wa kuosha zaidi ya wale wanaosuka nywele za mkono.
Nawaza sijui nirudishe hiyo TIN no yao nifunge biashara maana watanifunga jamani.
Naomba ushauri nifanyaje jamani
