jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,957
- 9,431
Wakili mzuri ndiyo yukoje!? TRA kazowea kupokea,Leo hii yeye ndiyo alipe fidia!? Thubutu! Kumbuka hatuko ulaya,tuko Tanzania!!Tafuta wakili mzurii
Mlipwe fidiaa mkuu
Wakili mzuri ndiyo yukoje!? TRA kazowea kupokea,Leo hii yeye ndiyo alipe fidia!? Thubutu! Kumbuka hatuko ulaya,tuko Tanzania!!Tafuta wakili mzurii
Mlipwe fidiaa mkuu
Usipende kuanya hearsay stories kuwa mainstream, Rwanda ipi unayoongelea ambapo shoe shiner ana efd?Ila watz tuna nn hatupendi kufuata sheria tukikutwa na vimeo tunaanza lalamika. Hapo jirani Rwanda hadi shoe shine ana EFD MACHINE kosa upewe huduma usiombe risiti utajuta siku iyo. Fata sheria ua kubali kipigo. TRA ingekuwa jeshi kamili tuu ili tulipe kodi
Hapo kuna ethics za kazi zimekiukwa , na hiyo ni kosa la mtu binafsi , anaweza asilipwe fidia ila kuna wafanyakazi wa Tra watawajibishwaWakili mzuri ndiyo yukoje!? TRA kazowea kupokea,Leo hii yeye ndiyo alipe fidia!? Thubutu! Kumbuka hatuko ulaya,tuko Tanzania!!
Kulipwa fidia sio rahisi, ila wakipata wakili mzuri hao wafanyakazi wanaweza kufukuzwa kazi,Tafuta wakili mzurii
Mlipwe fidiaa mkuu