Madam vivian original
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 503
- 998
Ndugu zangu JF habari za masiku mengi. Nina ndugu yangu amekuja kutafuta maisha Tanga nimempa bodaboda anaendesha na maisha yanaenda.
Leo jioni akanipigia kuna inshu nimsaidie, anasema kuna mpemba katoka zake zenji ana madungu ya mafuta anauzani mafuta ila anauza bei chei dungu elfu60 kwa moja nayeye angeuza 75 kwa moja akanishawishi nimpe hela ili auze chap then angenirudishia pesa yangu.
Nikajipinda nikampa pesa, akanunua kwa mpemba walikua na wenzake kama watatu na wote wakanunua mafuta mpemba akasepa no lisit Wala nini, na wenyewe kwa kuwa hawajui hawakudai risiti wao wakaanza kutafuta wateja sokoni huku na huku TRA Hawa hapa, wakayaona yale mafuta alikua ameweka dukani mawili jamaa kufika wakadai risiti ya yale mafuta, jamaa hawana wakakamatwa na madungu yao hao mpaka TRA na kuanza kufanyiwa umafia huko.
Waliitiwa watu waliovaa mask na kupigwa na kuteswa mpka wamtaje aliye wauzia na wenyewe hawamjui na wamesema hawajui lakini hawakuamini wala kuelewa wanaomba msamaha kwamba hatukujua Kama ni magendo sisi tumenunua tu, ili kupata ridhiki kidogo za familia lakini pia hawakuelewa mpka tunapoongea ndugu yetu yupo bombo hospitali sijui Kama atapona maana wanasema ameumia Sana kwa ndani na anapumulia oxygen.
Swali langu kwa TRA. Je, mamlaka ya kukamata watu na kutesa na kuwapiga wameitoa wapi au ndo wanavyofanya watu wakikamatwa na magendo nikupigwa mpka kufa, baada ya kupelekwa polisi wao wanawapiga na kuwatupa barabarani, hii ni sawa ndugu zangu?
Na hapo wamemwambia aende jumatatu kufata faini ya madungu yake na huku mtu yupo ICU hii ni sawa?
Mwingine wamempiga mpka wamemvunja mkono hii ni sawa kwenu TRA?
Leo jioni akanipigia kuna inshu nimsaidie, anasema kuna mpemba katoka zake zenji ana madungu ya mafuta anauzani mafuta ila anauza bei chei dungu elfu60 kwa moja nayeye angeuza 75 kwa moja akanishawishi nimpe hela ili auze chap then angenirudishia pesa yangu.
Nikajipinda nikampa pesa, akanunua kwa mpemba walikua na wenzake kama watatu na wote wakanunua mafuta mpemba akasepa no lisit Wala nini, na wenyewe kwa kuwa hawajui hawakudai risiti wao wakaanza kutafuta wateja sokoni huku na huku TRA Hawa hapa, wakayaona yale mafuta alikua ameweka dukani mawili jamaa kufika wakadai risiti ya yale mafuta, jamaa hawana wakakamatwa na madungu yao hao mpaka TRA na kuanza kufanyiwa umafia huko.
Waliitiwa watu waliovaa mask na kupigwa na kuteswa mpka wamtaje aliye wauzia na wenyewe hawamjui na wamesema hawajui lakini hawakuamini wala kuelewa wanaomba msamaha kwamba hatukujua Kama ni magendo sisi tumenunua tu, ili kupata ridhiki kidogo za familia lakini pia hawakuelewa mpka tunapoongea ndugu yetu yupo bombo hospitali sijui Kama atapona maana wanasema ameumia Sana kwa ndani na anapumulia oxygen.
Swali langu kwa TRA. Je, mamlaka ya kukamata watu na kutesa na kuwapiga wameitoa wapi au ndo wanavyofanya watu wakikamatwa na magendo nikupigwa mpka kufa, baada ya kupelekwa polisi wao wanawapiga na kuwatupa barabarani, hii ni sawa ndugu zangu?
Na hapo wamemwambia aende jumatatu kufata faini ya madungu yake na huku mtu yupo ICU hii ni sawa?
Mwingine wamempiga mpka wamemvunja mkono hii ni sawa kwenu TRA?