taarifa kamili ni hizi hapa
wameita jumla ya watu 72 tuu,na hao watu 72 wanatakiwa wafike kesho makao makuu ya tra saanne asubuhi kuchukua barua zao,na hao 72 wote wamepigiwa wamepokea simu na wamepewa taarifa.......asanteni,tukutane kesho saanne asubuhi