Chinkugwata
Member
- Feb 13, 2012
- 6
- 2
Majamaaa, meskia skia kwa mbali sana kua hawa majamaa wameanza kuita. So kila mwenye mdau aliye kua awasiliane kama hilo limetokea kisha tupate habari kama kuna habari kama hyo huko kwa roots!Wooi,zile sim mara hazipatikani mara hazipokelewi nini,yani famfa moja kwa moja.
Majamaaa, meskia skia kwa mbali sana kua hawa majamaa wameanza kuita. So kila mwenye mdau aliye kua awasiliane kama hilo limetokea kisha tupate habari kama kuna habari kama hyo huko kwa roots!
DAAH, mi mwenyewe pia nimeskia mtu wamempigia simu wakamuuliza vipi mbona hajaweka box, then akawatajia box lake. so mwenye taarifa ya uhakika zaidi please atueleze wana jamii forum.
Ina maana hawajamwambia chochote zaidi ya box lake tu!DAAH, mi mwenyewe pia nimeskia mtu wamempigia simu wakamuuliza vipi mbona hajaweka box, then akawatajia box lake. so mwenye taarifa ya uhakika zaidi please atueleze wana jamii forum.
Me nimecheki tayari...
Me nimecheki tayari...
Me nimecheki tayari...
Tayari nshacheki funguo za posta halafu cjaziona,cjui wakiita kwa posta itakuwaje!! Hehehe
Nimetoka kupigiwa simu sasa hv
kuchukua baruasimu ya kuitwa kwny traing au simu ya nn?
kuchukua barua
Nimetoka kupigiwa simu sasa hv
Knw wat wapendwa,najua mmetawaliwa na stress so kuliwazana muhmu.