Majina yametoka.this nov
Hawajaita,acheni kutia watu presha
Wamechukua graduates wa ITA.
Wanapiga kwenye landline mkuu
Kwa walipigiwa namba inaishia ngapi? Maana nimeona missed call namba ya ttcl, napiga haipokelewi, isije ikawa ndo hao jamaa
mkuu wamekupa maelekezo gani mengine?