TRA Nafasi za July

TRA Nafasi za July

Mimi wamenipigia na wakasema invitation letter imetumwa kwenye email lakin bado sijapata email sasa sijui nifanyeje???

Mkuu nipe wapi nipitie pitie this time I have to get this job
 
Hawa TRA wanaleta siri pasipohitaj usiri

weka majina kwa mtandao na.magazeti

weka maelekezo wapigie.watu simu

wasio na email address.maana yake hawana.sifa?
 
Kwa walipigiwa namba inaishia ngapi? Maana nimeona missed call namba ya ttcl, napiga haipokelewi, isije ikawa ndo hao jamaa

Kama umepata email hiyo simu sio muhimu sana nenda tu location siku ya tukio
 
Hawa TRA wanaleta siri pasipohitaj usiri

weka majina kwa mtandao na.magazeti

weka maelekezo wapigie.watu simu

wasio na email address.maana yake hawana.sifa?

Una apply vipi kama huna email?? Maana system za application za TRA ndio hizo hawapokei cv mkononi mpk uwe account yako kule
 
Back
Top Bottom