Tatizo mnanunua magari yaliyo 'hoza' sasa!!!These people are robbers. Majambazi wakubwa TRA ndio maana Mungu anawalaani. Mtu unakokotoa na kutafuta kigari cha $2000 kufika haha Ushuru ni $4000, upumbavu gani huu TRA. Hawataki watanzania wanunue Magari period
Ndugu yangu kuna jamaa alinunua escudo new model mil 15 kodi ikaja mil 30
Ndugu yangu kuna jamaa alinunua escudo new model mil 15 kodi ikaja mil 30
Sawa njooni tuIlikua ya mwaka gani?
Otherwise tuanze kupitishia mombasa tu sasa.
Pole sanaIlikua ya mwaka gani?
Otherwise tuanze kupitishia mombasa tu sasa.
Kwani ukipitisha Mombasa hutalipia ushuru?Ilikua ya mwaka gani?
Otherwise tuanze kupitishia mombasa tu sasa.