pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 312
- 614
kuna zoezi la kukusanya kodi madukani linaendelea uratibu uonaotumika ni kuvamia maduka ya watu na kuchukua vitu imepelekea baadhi ya maofisa kupigwa maeneo ya kivule, ni utaratibu gani huu jamani elimu ya kodi inatakiwa.
Kwa sasa maduka yote yamefungwa nimemuuliza mfanyabiashara mmoja kwanini umefunga akasema hana leseni nikamuuliza leseni ya biashara au leseni ipi? Akasema hajui kifupi maeneo ya kivule jana ilikuwa ni fujo tupu na ikumbukwe huku wanaishi wakurya tujiandae kusikia lolote
Kwa sasa maduka yote yamefungwa nimemuuliza mfanyabiashara mmoja kwanini umefunga akasema hana leseni nikamuuliza leseni ya biashara au leseni ipi? Akasema hajui kifupi maeneo ya kivule jana ilikuwa ni fujo tupu na ikumbukwe huku wanaishi wakurya tujiandae kusikia lolote