Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Leo napenda kuwaletea hili swali, Je mmeshindwa kabisa kurekebisha mfumo wa mashine zenu za EFD??? Hili tatizo la mashine zenu kutokufanya kazi kwa mtandao kutokuwepo hamjui kuwa mnaikosesha nchi mapato makubwa sana???
Hivi kwa Jinsi mbavyojifanya mna wataalamu, mmeahindwa hata kuziunganisha hizo mashine zenu na mfumo Kama wa TTCL au mtandao mkubwa hapa nchini ili kuzifanya muda wote ziwe zinapata mtandao na kufanya kazi???
Kwa wiki nzima hii nimekuwa nikienda maeneo mbalimbali kununua bidhaa mbalimbali na kupata huduma Ila ninapodai risiti naambiwa mashine haina mtandao. Naomba mjirekebishe na muweke mfumo mzuri kwenye hizi mashine zenu.
Kama mnataka kumsabotage Mama yetu Samia Suluhu Hassan napenda kuwaambia kuwa mtafeli kama hamjaanza. Kama mmefeli semeni tumshauri Mama alete hata kampuni kubwa za mifumo ya kiteknolojia zije kuweka mfumo mzuri na ku update mashine hizi za EFD ili ziwe zinafanya kazi muda wote.
Leo napenda kuwaletea hili swali, Je mmeshindwa kabisa kurekebisha mfumo wa mashine zenu za EFD??? Hili tatizo la mashine zenu kutokufanya kazi kwa mtandao kutokuwepo hamjui kuwa mnaikosesha nchi mapato makubwa sana???
Hivi kwa Jinsi mbavyojifanya mna wataalamu, mmeahindwa hata kuziunganisha hizo mashine zenu na mfumo Kama wa TTCL au mtandao mkubwa hapa nchini ili kuzifanya muda wote ziwe zinapata mtandao na kufanya kazi???
Kwa wiki nzima hii nimekuwa nikienda maeneo mbalimbali kununua bidhaa mbalimbali na kupata huduma Ila ninapodai risiti naambiwa mashine haina mtandao. Naomba mjirekebishe na muweke mfumo mzuri kwenye hizi mashine zenu.
Kama mnataka kumsabotage Mama yetu Samia Suluhu Hassan napenda kuwaambia kuwa mtafeli kama hamjaanza. Kama mmefeli semeni tumshauri Mama alete hata kampuni kubwa za mifumo ya kiteknolojia zije kuweka mfumo mzuri na ku update mashine hizi za EFD ili ziwe zinafanya kazi muda wote.