waanzishe kitengo maalumu cha kulea wqfanyabiashara wadogo wenye maono makubwa kwa kuwapa likizo za kodi kwa kipindi flani huku wakiwasaidia kwa ushauri pia ili wasife.
ifikie kipindi tusikia mtu anatumbiliwa, kwa kusababisha biashara ambazo hazikupaswa kufa zinakufa kisa umakini mdogo juu ya kodi na uhalisia wa mtoa kodi.
hili ni eneo ambao tra wanapaswa kuja na ufafanuzi na mpango kabambe kufanya reformation ambayo watakusanya kodi bila biashara kusinyaa hadi kifo.