Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Tunaposema mtaani hali ni ngumu ni ngumu kweli ni vigumu kuamini lakini ndo ukweli hapa watu washio jiji la Dar wameshapoteza mwelekeo wa maisha.
Nilijaribu kupita maeneo mengi hapa Dar nikagundua watu wengi wameshapoteza dira kutokana hii imeshakuwa mfumo wa maisha ya vijana wengi hapa Dar.
1. Kuna kundi la vijana ambao wanawaza kuuza nyumba na pesa ikipatikana wagawane ili kila mtu awe na maisha yake.
2. Wadada wengi wamejiingiza katika biashara ya ngono kwa ajili ya kujitafutia kipato.
3. Baadhi ya vijana waliopo Dar wanaishi kwa kuokota makopo na kula majalalani.
4. Kuna vijana ambao hadi sasa wameshakata tamaa maisha wao wamejiamulia tuu kuvuta unga na kukaba watu mitaani.
5. Kuna vijana ambao wapo mitaani baada ya kukosa kazi za kufanya wao wamejikita katika kufatilia maisha ya watu.
6. Kuna vijana huku mtaani wao maisha yao wanategemea kucheza michezo ya kamali, pool table, kubeti ili kujipatia kipato kwa ajili ya kuendesha maisha na familia .
7. Kuna vijana wasomi ambao hawakubatika kupata ajira wengi wao wameishia kukaa vijiweni, madalali, wanywa kahawa vijiweni na wengine ni matapeli.
8. Kuna vijana wa kiume sasa hivi wameamua kuishi na wamama waliowazidi umri maarufu kama majimama just becouse kutafuta unafuu wa maisha.
9. Kuna vijana ambao wao ambao wameamua kuvuta bangi na kuvuta unga ili kupunguza stress na mawazo katika maisha.
10. Kuna vijana wao wamejingiza katika ulevi viroba na gongo kama pombe kali wanakunywa just kupunguza stress katika maisha.
11. Kuna vijana wao wameamua kuvunja undugu na ndugu zao wenye uwezo kwa sababu wameshidwa kuwasaidia either katika ajira na mengineyo hivo wameona bora undugu ufee.
12. Kuna vijana hadi leo hii bado wanawaza kujiunga na freemanson ili waweze kuwa na maisha mazuri na huwa hawaogopi kutoa wazazi wao maisha kwa ajili ya huo utajiriii.
13. Kuna vijana hapa mjini wao wanaishi maisha ya MDANANDA wao kazi yao ni kuwatafutia WATU MASHUHURI NA WENYE PESA kama vile akina WABUNGE AU AKINA PAPA wanawake wazuli wazuli kwa ajili ya kujipatia kipato.
14. Kuna kundi la vijana wao wanategemea kuishi MAISHA FITINA NA UNAFIKI kwa ajili kujipatia kipato kazi yao ni kutoa maneno huku na kuyapelekaa.
Ni mengi ya kuzungumza. Je, unadhani nini chanzo hadi kuishi maisha aina hii? Na, je ni wapi walikosea?
Nilijaribu kupita maeneo mengi hapa Dar nikagundua watu wengi wameshapoteza dira kutokana hii imeshakuwa mfumo wa maisha ya vijana wengi hapa Dar.
1. Kuna kundi la vijana ambao wanawaza kuuza nyumba na pesa ikipatikana wagawane ili kila mtu awe na maisha yake.
2. Wadada wengi wamejiingiza katika biashara ya ngono kwa ajili ya kujitafutia kipato.
3. Baadhi ya vijana waliopo Dar wanaishi kwa kuokota makopo na kula majalalani.
4. Kuna vijana ambao hadi sasa wameshakata tamaa maisha wao wamejiamulia tuu kuvuta unga na kukaba watu mitaani.
5. Kuna vijana ambao wapo mitaani baada ya kukosa kazi za kufanya wao wamejikita katika kufatilia maisha ya watu.
6. Kuna vijana huku mtaani wao maisha yao wanategemea kucheza michezo ya kamali, pool table, kubeti ili kujipatia kipato kwa ajili ya kuendesha maisha na familia .
7. Kuna vijana wasomi ambao hawakubatika kupata ajira wengi wao wameishia kukaa vijiweni, madalali, wanywa kahawa vijiweni na wengine ni matapeli.
8. Kuna vijana wa kiume sasa hivi wameamua kuishi na wamama waliowazidi umri maarufu kama majimama just becouse kutafuta unafuu wa maisha.
9. Kuna vijana ambao wao ambao wameamua kuvuta bangi na kuvuta unga ili kupunguza stress na mawazo katika maisha.
10. Kuna vijana wao wamejingiza katika ulevi viroba na gongo kama pombe kali wanakunywa just kupunguza stress katika maisha.
11. Kuna vijana wao wameamua kuvunja undugu na ndugu zao wenye uwezo kwa sababu wameshidwa kuwasaidia either katika ajira na mengineyo hivo wameona bora undugu ufee.
12. Kuna vijana hadi leo hii bado wanawaza kujiunga na freemanson ili waweze kuwa na maisha mazuri na huwa hawaogopi kutoa wazazi wao maisha kwa ajili ya huo utajiriii.
13. Kuna vijana hapa mjini wao wanaishi maisha ya MDANANDA wao kazi yao ni kuwatafutia WATU MASHUHURI NA WENYE PESA kama vile akina WABUNGE AU AKINA PAPA wanawake wazuli wazuli kwa ajili ya kujipatia kipato.
14. Kuna kundi la vijana wao wanategemea kuishi MAISHA FITINA NA UNAFIKI kwa ajili kujipatia kipato kazi yao ni kutoa maneno huku na kuyapelekaa.
Ni mengi ya kuzungumza. Je, unadhani nini chanzo hadi kuishi maisha aina hii? Na, je ni wapi walikosea?