Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Asilimia 70 ya vijana wengi waliomaliza chuo na shule ambao hawakupata nafasi ya kuajiriwa wengi siku hizi wamejiingiza katika biashara hii ikiwa kama plan B.
Sasa shida inakuja kwa hawa TRA mmetuwekea kodi kubwa pale mnapokuja kukadiria biashara na kodi unayotakiwa kuilipa kila siku madukani mnatusumbua faini ndogo ndogo zimekuwa ni nyingi sana imefikia hatua watu biashara wamefunga.
Kuna wengine ndo kwanza vijana biashara ndo tumeianzaa lakini mnatukaba sana vijana tutashidwa kutoka kimaisha.
TRA kuweni na huruma
Sasa shida inakuja kwa hawa TRA mmetuwekea kodi kubwa pale mnapokuja kukadiria biashara na kodi unayotakiwa kuilipa kila siku madukani mnatusumbua faini ndogo ndogo zimekuwa ni nyingi sana imefikia hatua watu biashara wamefunga.
Kuna wengine ndo kwanza vijana biashara ndo tumeianzaa lakini mnatukaba sana vijana tutashidwa kutoka kimaisha.
TRA kuweni na huruma