TRA Makambako wanaonea sana wafanyabiashara

TRA Makambako wanaonea sana wafanyabiashara

binam wetu

Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
52
Reaction score
14
Kumekua na uonevu mkubwa sana pamoja na mazingira ya rushwa kubwa sana kwa maofisa wa tra makambako mkoa wa njombe.kwanza ukienda kukadiriwa unapigwa bei kubwa ambayo hailipiki nia yao uwatafute nje na ofisi wakutoe kitu kidogo
Pia wengine wana watu wanaowatumia rasmi kukusanya hela ya rushwa .

Tunaomba takukuru wafanye kazi yao mapema sana tena sio takukuru wa pale makambako watagindua ubambikaji kodi kubwa kwa wafanya biashara
Lugha chafu , kejeli na dharau

Hatuwezi kufika uchumi wa viwanda kama wakunya kodi wanakuwa dizaini ya maofisa kodi wa makambako
 
Tulidekezwa vibaya una biashara kila leo unaongeza magari, nyumba nzuri, vaa nzuri, michango mizuri ya harusi, harambee kubwa kubwa kanisani, watoto English medium ukija kwenye kodi ya mapato mtu anataka alipe chini TZS 1,000,000 kwa mwaka. Kodi ya mapato inaendana na kipato chako
Mku huoni kama una wivu ya Mtu mmojammoja au kwako ni laana
 
Mku huoni kama una wivu ya Mtu mmojammoja au kwako ni laana
TRA wanachofanya ni kujaribu kushawishi wafanya biashara walipe kodi inayoendana na matokeo halisi ya biashara zao; haina maana kujikadiria kodi ya TZS 1,000,000 lakini wakati wa kuwasilisha hesabu kodi isome TZS 10,000,000 au kupitia kaguzi za kodi, kodi yako hali ije kuwa TZS 15,000,000. Bora makadirio yako angalau yawe 80% ya kodi halisi kulingana na hesabu zako.
 
Tulidekezwa vibaya una biashara kila leo unaongeza magari, nyumba nzuri, vaa nzuri, michango mizuri ya harusi, harambee kubwa kubwa kanisani, watoto English medium ukija kwenye kodi ya mapato mtu anataka alipe chini TZS 1,000,000 kwa mwaka. Kodi ya mapato inaendana na kipato chako
Umeelewa alichokilalamikia huyo mfanyabiashara? Au unasumbuliwa na ukada? Soma vzr.
 
TRA wanachofanya ni kujaribu kushawishi wafanya biashara walipe kodi inayoendana na matokeo halisi ya biashara zao; haina maana kujikadiria kodi ya TZS 1,000,000 lakini wakati wa kuwasilisha hesabu kodi isome TZS 10,000,000 au kupitia kaguzi za kodi, kodi yako hali ije kuwa TZS 15,000,000. Bora makadirio yako angalau yawe 80% ya kodi halisi kulingana na hesabu zako.
Mwisho wa mwaka ikiongezeka si unalipa ile tofauti? Na naweza kujikadiria 1m lakini biashara ikaenda vizuri kama usemavyo au isiende vizuri hio 1m ikawa ni kodi kubwa kuliko uhalisia, unajua hapo inakuwaje? TRA hawakurudishii cash.
 
Tulidekezwa vibaya una biashara kila leo unaongeza magari, nyumba nzuri, vaa nzuri, michango mizuri ya harusi, harambee kubwa kubwa kanisani, watoto English medium ukija kwenye kodi ya mapato mtu anataka alipe chini TZS 1,000,000 kwa mwaka. Kodi ya mapato inaendana na kipato chako

chief kwa hyo hutaki watu waishi vizuri? watu kuendesha magari na kusomesha watoto english medium inaonekana imekuuma sana! exactly unachotaka watu watembee kwa miguu,watoto wasome mabanda ya kukuzia watoto ya kayumba, nyumbani chakula kiwe cha shida hayo kwako ndyo maendeleo? lengo kuu la serikali yoyote duniani ni kupigania mwananchi wake aishi maisha uliyoyataja hpo juu .
ulioyaita ya kudekezwa, na ndyo maana halisi ya uchumi kukua
 
Tulidekezwa vibaya una biashara kila leo unaongeza magari, nyumba nzuri, vaa nzuri, michango mizuri ya harusi, harambee kubwa kubwa kanisani, watoto English medium ukija kwenye kodi ya mapato mtu anataka alipe chini TZS 1,000,000 kwa mwaka. Kodi ya mapato inaendana na kipato chako
Mawazo ya kikora hayo

Ova
 
Umeelewa alichokilalamikia huyo mfanyabiashara? Au unasumbuliwa na ukada? Soma vzr.
Niko kwenye hii fani. Mfanyabiashara anajikadiria kidogo mwisho wa mwaka akitengeneza mahesabu kodi ni kubwa na inabdili alipe na faini ya kijikadiria kidogo; in one way or another TRA wanajaribu kuwapunguzia wafanyabiasha mzigo wa kodi kubwa wakati wa kuwasilisha ritani ya mwaka na mahesabu yaliyokaguliwa
 
Tulidekezwa vibaya una biashara kila leo unaongeza magari, nyumba nzuri, vaa nzuri, michango mizuri ya harusi, harambee kubwa kubwa kanisani, watoto English medium ukija kwenye kodi ya mapato mtu anataka alipe chini TZS 1,000,000 kwa mwaka. Kodi ya mapato inaendana na kipato chako

Umasikini ni mbaya sana. Ukiwa masikini na hauna akili ndiyo matokeo yake haya ya kuwachukia matajiri.
Akitumia milioni 500 au 50 kwenye harusi ww inakuuma nini? Watu watafute hela halafu ww uwapangie cha kutumia.
Ww ni mpiga kelele wala si mfanyabiashara. Mfanyabiashara hana akili hizi. Lbd km unauza nyanya gengeni
 
Niko kwenye hii fani. Mfanyabiashara anajikadiria kidogo mwisho wa mwaka akitengeneza mahesabu kodi ni kubwa na inabdili alipe na faini ya kijikadiria kidogo; in one way or another TRA wanajaribu kuwapunguzia wafanyabiasha mzigo wa kodi kubwa wakati wa kuwasilisha ritani ya mwaka na mahesabu yaliyokaguliwa
Umejuaje kama mlalamikaji naye hujikadiria jidogo?
 
Umasikini ni mbaya sana. Ukiwa masikini na hauna akili ndiyo matokeo yake haya ya kuwachukia matajiri.
Akitumia milioni 500 au 50 kwenye harusi ww inakuuma nini? Watu watafute hela halafu ww uwapangie cha kutumia.
Ww ni mpiga kelele wala si mfanyabiashara. Mfanyabiashara hana akili hizi. Lbd km unauza nyanya gengeni
Hata muuza nyanya hawezi kua na akili za kimaskini hivo!
 
Umasikini ni mbaya sana. Ukiwa masikini na hauna akili ndiyo matokeo yake haya ya kuwachukia matajiri.
Akitumia milioni 500 au 50 kwenye harusi ww inakuuma nini? Watu watafute hela halafu ww uwapangie cha kutumia.
Ww ni mpiga kelele wala si mfanyabiashara. Mfanyabiashara hana akili hizi. Lbd km unauza nyanya gengeni
Matumizi ndiyo yanayoonyesha uwezo wa mtu kimapato; hoja yangu huo uwezo wa kimapato uonekane kwenye ulipaji wa kodi ya mapato
 
Tulidekezwa vibaya una biashara kila leo unaongeza magari, nyumba nzuri, vaa nzuri, michango mizuri ya harusi, harambee kubwa kubwa kanisani, watoto English medium ukija kwenye kodi ya mapato mtu anataka alipe chini TZS 1,000,000 kwa mwaka. Kodi ya mapato inaendana na kipato chako



Punguza wivu.
 
Matumizi ndiyo yanayoonyesha uwezo wa mtu kimapato; hoja yangu huo uwezo wa kimapato uonekane kwenye ulipaji wa kodi ya mapato
Nisifanye mambo ya maendeleo na kula bata niwapelekee TRA? Hiyo haiwezekani.
Sifanyi biashara kwa ajili ya TZ au TRA nafanya biashara kwa manufaa yangu mm na familia yangu kwahiyo makadirio yazingatie mauzo, ukinikadiria tofauti na kiasi nilichouza utanifanya siku nyingine nisilupe kodi.
 
Back
Top Bottom