TRA kunani kwenye leseni za udereva

TRA kunani kwenye leseni za udereva

Mimi nimerenew nikaambiwa after 3 days but nilipoenda kuifuata wakazuga kuitafuta kisha wakaniambia nijaribu after 2weeks arooo ati nijaribu
Bado leseni yangu haijatoka amin amin nakuambia
 
Mm nilirenew mwaka jana December hapo millenium tower nikaja pata mwaka huu March, so mkuu vuta subira tu.
 
Mimi nimelipia tangu 20 desemba2018 kurenew had leo sijapata leseni mpya.
Nasikia ukitoa rushwa fasta unapata leseni.Tunasubiri tuone watakaanazo mpaka lini.
 
Huyu jamaa
Siyo kweli Mkuu mbona wanatoa kwa wakati! Au unazungumzia ya mwaka Jana?

-
ana lake labda hajaenda chuo cha udereva. Mm nimerenew mara ya tatu juzi wamenipa ile copy wala sina wasiwasi ikiwa tiyatinwataniita kikubwa we ndugu fuata tutaratibu
 
Back
Top Bottom