TRA: Kufuta Usajili wa Vyombo vya Moto

TRA: Kufuta Usajili wa Vyombo vya Moto

Mlolongo ni mrefu sana! Moja kwa moja mna-discourage watu.
Ushauri: Ingekuwa;
"Ripoti TRA, utapangiwa siku ya kupewa Ofisa wa TRA akiambatana na Traffic Officer kwenda kujiridhisha.
Utapewa fomu ya kujaza ikiambatana na kadi ya gari.(usisahau kitambulisho cha Taifa)
 
Hapa mimi ndo huwaga sielewi. Kwanini kuna sheria za zamani sana kwenye maisha ya kisasa? Hivi kweli mwaka 1973 inaweza kuwa relevant mwaka 2022?

Katiba mpya ni lazima.
KATIBA MPYA SIYO LAZIMA USIJIDANGANYE
 
Back
Top Bottom