MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
Hii ni bandari kichefuchefu.
Kwa mfano ukitaka kutoa gari kila kona ni rushwa na ni kama wanakulazimisha na usipotoa wanakukomoa kwa kukuchelewesha
ukishatoka hapo tra kuna tpa ambapo kukagua gari yako sometimes wanataka laki mbili hadi na nusu
kwenda kuitoka kila section unayopita wanataka uache kidogo
then unapotoa gari unakuta wamechomoa kitu halafu ukifika hapo getini jamaa wanakuuzia kitu kile kile walichokitoa
takukuru please mulika huu uozo unaonukisha nchi yetu
i am a tanzania lakini kwa sasa nimeamua kutumia bandari ya mombasa maana wapo business minded. Big up kenyans.
We need a corruption revolution in this country
wananchi wanaonewa sana na kunyanyaswa na hizi taasisi ambazo zipo kwa ajili ya kuwasaidia.
Everything going on is well known by governing authorities but it a bit disgusting it has been left to continue for such long
Kwa mfano ukitaka kutoa gari kila kona ni rushwa na ni kama wanakulazimisha na usipotoa wanakukomoa kwa kukuchelewesha
ukishatoka hapo tra kuna tpa ambapo kukagua gari yako sometimes wanataka laki mbili hadi na nusu
kwenda kuitoka kila section unayopita wanataka uache kidogo
then unapotoa gari unakuta wamechomoa kitu halafu ukifika hapo getini jamaa wanakuuzia kitu kile kile walichokitoa
takukuru please mulika huu uozo unaonukisha nchi yetu
i am a tanzania lakini kwa sasa nimeamua kutumia bandari ya mombasa maana wapo business minded. Big up kenyans.
We need a corruption revolution in this country
wananchi wanaonewa sana na kunyanyaswa na hizi taasisi ambazo zipo kwa ajili ya kuwasaidia.
Everything going on is well known by governing authorities but it a bit disgusting it has been left to continue for such long