TRA ina nyonga wadogo

TRA ina nyonga wadogo

Ndesaika

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
219
Reaction score
92
Ndugu zangu nimeagizia Container moja la Tiles toka ulaya ili nianze biashara ya vigae/tiles kama mzalendo nataka kijiimarisha kiuchumi.

Lakini kwa masikitiko makubwa baada ya mzigo kufika hapa TRA bila huruma wamebadilisha bei ya bidhaa hii toka dola 4 kwa sqm bei niliyo nunulia na kuweka dola 10 kwa sqm.

Ushuru mwazo nilishalipa mil 7 na sasa natakiwa kuongeza mil 7 nyengine , mil 14 kwa container moja !! kwa hakika inasikitisha sana.

Lakini cha kushangaza ni kuwa wafanya biashara WAKUBWA wenye asili ya KIASIA wanapitisha container zao na wanalipia mil 5 tu kwa container na wala container zao hazi kaguliwi bandarini zinatolewa fasta fasta!

Je kwa mwendo huu sisi Wazalendo wadogo tutafanikiwa kujijenga kiuchumi kwa TRA hii yenye Tabia Hii NASIKITISHA SANAAA .




 
pole sana..yaan bandarin ni uozo tu..mi na container lina mwez karibia unafunga tumelipia kila kitu ila wanasema bado wanalikagua hawataki kuliachia..yaan wanakera tu na kurudishana nyumaa
 
Nchi imeoza wakubwa, nchi ambayo kila mtu aliziki na anachopata hadi kitu kidogo ndo anakuachia haki yako na imesabushwa na kuwa na viongozi wafanyabiashara ambao wao kazi yao kubwa kuangalia faida inayongia kiharamu. Pole sana we lipia uje utupige bei kubwa ndio wanachotaka
 
Back
Top Bottom