Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,005
Dogo,huyu Nanyaro anaaibisha jukwaa.Sikujua kama anaweza kuwa mbumbumbu hivyo.Hivi wewe ndio wa kumuaibisha Mh Nanyaro , jiangalie mkuu .
Dogo,huyu Nanyaro anaaibisha jukwaa.Sikujua kama anaweza kuwa mbumbumbu hivyo.Hivi wewe ndio wa kumuaibisha Mh Nanyaro , jiangalie mkuu .
[/QUOTE]Mfanyabiashara mwenye kiwanda cha juisi lazima atakuwa na stock kubwa ya sukari kama mojawapo ya bidhaa za kiwanda chake.Je ni wakati gani unatambua aliyehifadhi sukari na aliyeficha?
QUOTE="Mdau Mkuu, post: 16142235, member: 20323"]1. Wafanyabishara nao wamepata wapi mamlaka ya kuficha sukari?
2. Je ni kifungu gani cha sheria kinamruhusu mfanya biashara kuficha sukari?
Yaani mie ndo hapa najishangaaga sijielewi au nalazimisha kutokuelewa.
Kable sijajibu swali lako nakwama katika maswali yangu hayo
"Kimsingi hii ni ishara na kielelezo cha Ombwe la uongozi,pamoja na ukosefu wa DIRA" Naunga mkono hilo andiko.Nimesikia taarifa ya habari kuwa,Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) imegawa Sukari yote ya Magendo Mifuko 5,319 yenye thamani ya Zaidi ya Shilingi Milioni 373.5 kwa Taasisi mbali mbali Mkoani Lindi
Sakata la hii sukari lilianza Febuary mwaka huu,unaweza ukajiuliza
Tangu Februari hadi leo nini kilikuwa kinasubiriwa?
Je lini TRA imeanza kugawa BURE vitu vinavyodaiwa kodi?kwa hiyo kesho wakikamata gari ambazo hazijalipiwa ushuru watazigawa bure?
Je, wakikamata mafuta yatagaiwa bure?Haya yanayotokea ni madhara ya nchi kutokuwa na DIRA.
Tunakumbuka miezi miwili nyuma wimbo wa viongozi wote wa serikali kuanzia Dc,RCs,na wakuu wa idara zote za umma ulikuwa ni watumishi HEWA!
Suala la watumishi Hewa halijaisha limekuja suala la sukari sasa hadi TRA ambao sheria inawataka wakusanye kodi,ni mamlaka ya kukusanya kodi,wala sio kutoa vitu ambavyo havijalipiwa ushuru!
Kimsingi hii ni ishara na kielelezo cha Ombwe la uongozi,pamoja na ukosefu wa DIRA
Bila MAONO Taifa huangamia
Ungefanya upekuzi kidogo, usingeleta maada hii hapa. Afadhali ungeleta kwa mfumo wa swali ili uelimishwe!Nimesikia taarifa ya habari kuwa,Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) imegawa Sukari yote ya Magendo Mifuko 5,319 yenye thamani ya Zaidi ya Shilingi Milioni 373.5 kwa Taasisi mbali mbali Mkoani Lindi
Sakata la hii sukari lilianza Febuary mwaka huu,unaweza ukajiuliza
Tangu Februari hadi leo nini kilikuwa kinasubiriwa?
Je lini TRA imeanza kugawa BURE vitu vinavyodaiwa kodi?kwa hiyo kesho wakikamata gari ambazo hazijalipiwa ushuru watazigawa bure?
Je, wakikamata mafuta yatagaiwa bure?Haya yanayotokea ni madhara ya nchi kutokuwa na DIRA.
Tunakumbuka miezi miwili nyuma wimbo wa viongozi wote wa serikali kuanzia Dc,RCs,na wakuu wa idara zote za umma ulikuwa ni watumishi HEWA!
Suala la watumishi Hewa halijaisha limekuja suala la sukari sasa hadi TRA ambao sheria inawataka wakusanye kodi,ni mamlaka ya kukusanya kodi,wala sio kutoa vitu ambavyo havijalipiwa ushuru!
Kimsingi hii ni ishara na kielelezo cha Ombwe la uongozi,pamoja na ukosefu wa DIRA
Bila MAONO Taifa huangamia
Kama hujui Sheria kaa kimya....
Ina maana hujui kuwa TRA ina mamlaka kisheria
1: Kupiga fine bidhaa iliyoingizwa kimagendo AU
2: Kuitaifisha na kuigawa
3: Kuiuza?
Nimesikia taarifa ya habari kuwa,Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) imegawa Sukari yote ya Magendo Mifuko 5,319 yenye thamani ya Zaidi ya Shilingi Milioni 373.5 kwa Taasisi mbali mbali Mkoani Lindi
Sakata la hii sukari lilianza Febuary mwaka huu,unaweza ukajiuliza
Tangu Februari hadi leo nini kilikuwa kinasubiriwa?
Je lini TRA imeanza kugawa BURE vitu vinavyodaiwa kodi?kwa hiyo kesho wakikamata gari ambazo hazijalipiwa ushuru watazigawa bure?
Je, wakikamata mafuta yatagaiwa bure?Haya yanayotokea ni madhara ya nchi kutokuwa na DIRA.
Tunakumbuka miezi miwili nyuma wimbo wa viongozi wote wa serikali kuanzia Dc,RCs,na wakuu wa idara zote za umma ulikuwa ni watumishi HEWA!
Suala la watumishi Hewa halijaisha limekuja suala la sukari sasa hadi TRA ambao sheria inawataka wakusanye kodi,ni mamlaka ya kukusanya kodi,wala sio kutoa vitu ambavyo havijalipiwa ushuru!
Kimsingi hii ni ishara na kielelezo cha Ombwe la uongozi,pamoja na ukosefu wa DIRA
Bila MAONO Taifa huangamia