Tra hii ni haki?

Watunduru

Senior Member
Dec 29, 2011
170
39
Naomba kuelimishwa,mamlaka ya mapato ktk kukadiria kodi wajasiriamali kwa mwaka huu wa 2012-2013,hapa ktk wilaya ya tunduru,wanahitaji bank statement ya mwaka uliopita na kwamba makadirio yate yatatokana na pesa iliyoingia na kutoka bank kwa kipindi chote cha mwaka uliopita bila kujali kwamba kuna pesa ambazo hupitia ktk akaunti kwa sababu moja ama nyingine lakini haziwahusu wenye akaunti.sasa kutumia bank statement kama kigezo cha makadirio ni haki,sheria,au kuwakomoa wajasiriamali?
Nawasilisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom