Mtized one
Member
- Jul 27, 2011
- 46
- 7
Recently..nimepata taarifa kuwa TRA wanaemploy fresh graduates tu..ikiwa umeaply then kwenye CV umepost working experience basi nikigezo tosha kukuchuja..ikiaminika kuwa wenye working exprc ni mabingwa wa Fraud.....Je hii ni kweli??