Roho mbaya tu, ww gari lishalipiwa ushuru milion chungu nzima, unataka mtu akiuza pia lilipiwe tena. Hio TRA ipate mara ngapi.
Hilo la mabasi sawa. Lakini suala la magari Huna hoja. Yote ni kwa sababu humiliki gari
Nadhani ungesema kwa sababu kodi anazo sema anadhani hazimhusu.
Huyu akisikia hata kodi ya shs 1 ya uzalendo ya sim card kwa mwaka sikilizia kelele zake.
Yale yale ya wabunge na mawaziri. Mkuki ni kwa nguruwe tu!