TRA Arusha wametumwa na CHADEMA?

TRA Arusha wametumwa na CHADEMA?

Mnalalamika nini ? au nyie ni mafisadi na wakwepa kodi?
 
Tangu jana TRA Arusha,wanasambaza massages kwa wafanyabiashara wote wa Jiji hili la Arusha.

Mwisho wa mwezi September 2020 wafanyabiashara wanatakiwa kulipa SDL,VAT & kodi ya mapato awamu ya 3 na kodi za wafanyakazi vinginevyo adhabu kali ikiwemo riba zitatozwa.

Biashara ktk mji huu unaotegemea utalii zimedorora sana hakuna mauzo ya maana na kibaya zaidi TRA haina mpango wa kushusha kiwango cha kodi ya mapato kuendana na hali halisi ya sasa.

Wakati bado hali haijaka sawa TRA wamekuja na vitisho.Tunajiuliza hivi TRA wanetumwa na Lissu au kuna mkakati wa siri wa kuiangamiza CCM.

Sijui hali iko vipi mikoa mingine
Ndivyo serikali hii inavyowatesa watu wake kwa kodi za kubambikiziwa hata kama hakuna mapato yoyote, udhalimu huu mwisho October.
 
Kwa hiyo hamtaki kulipa Kodi? Maisha magumu huku biashara mumefungua acheni michezo ya kutaka kuibua serikali, hao TRA ndo muda wa quarter kukusanya mapato.
 
Huo ndiyo uchumi wa kati unaohubiriwa na "mitano tena"....in Bagonza's voice.
 
Hivi ukiwa chadema na Akili anabaki nayo kibaraka!!? Ebu lipeni kodi acheni utahira.
 
Mkuu ndio kusema umemuamini Lisu aliposema kuwa hatatoza kodi kabisa??
 
Mkuu ndio kusema umemuamini Lisu aliposema kuwa hatatoza kodi kabisa??

Hakuna serekali duniani isiyotoza kodi lakini kina mazingira ambayo lazima uzingatia kabla ya kuchukua fedha kutoka katika biashara au viwanda.

Ni ajabu biashara nyingi zipo hoi lkn bado unataka kodi
 
Hakuna serekali duniani isiyotoza kodi lakini kina mazingira ambayo lazima uzingatia kabla ya kuchukua fedha kutoka katika biashara au viwanda.

Ni ajabu biashara nyingi zipo hoi lkn bado unataka kodi
Kwahiyo pendekezo lako ni kuwa usilipe kwa miaka mingapi??
 
Kwahiyo pendekezo lako ni kuwa usilipe kwa miaka mingapi??

Kiwango cha kodi ya mapato kipunguzwe kwakuwa biashara nyingi ziliathirika kuanzia mwezi April to September 20.
 
Tangu jana TRA Arusha,wanasambaza massages kwa wafanyabiashara wote wa Jiji hili la Arusha.

Mwisho wa mwezi September 2020 wafanyabiashara wanatakiwa kulipa SDL,VAT & kodi ya mapato awamu ya 3 na kodi za wafanyakazi vinginevyo adhabu kali ikiwemo riba zitatozwa.

Biashara ktk mji huu unaotegemea utalii zimedorora sana hakuna mauzo ya maana na kibaya zaidi TRA haina mpango wa kushusha kiwango cha kodi ya mapato kuendana na hali halisi ya sasa.

Wakati bado hali haijaka sawa TRA wamekuja na vitisho.Tunajiuliza hivi TRA wanetumwa na Lissu au kuna mkakati wa siri wa kuiangamiza CCM.

Sijui hali iko vipi mikoa mingine

Hivi ukiwa mwana chadema unakuwa na mtindio wa ubongo? Kwani kulipa kodi nalo limekuwa jambo la ajabu sana? Yani Lissu akiingia hamtolipa kodi? Kwa hiyo ulitaka TRA wasiwakumbushe kulipa kodi? Kama hufanyi biashara na umefunga biashara si kuna utaratibu? Hivi ninyi nchi mtaiendesha vipi? Kama kodi hamtaki kulipa?


Hivi ukiwa mwana chadema unakuwa chizi chizi?
 
Back
Top Bottom