brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Vinara wa ligi kuu Yanga Leo wakiongoza na Nahodha wao mpya Ibrahim Ajib watakuwa wakipapatuana na wachimba madini kutoka shinyanga Mwadui fc.
Yanga itakosa huduma ya kinara wa ufungaji Makambo aliekwenda kwao Congo na kupoteza mawasiliano.
Mechi inaanza saa moja kamili
Kikosi Cha Yanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga itakosa huduma ya kinara wa ufungaji Makambo aliekwenda kwao Congo na kupoteza mawasiliano.
Mechi inaanza saa moja kamili
Kikosi Cha Yanga
Sent using Jamii Forums mobile app