TPL: kutoka uwanja wa Taifa Yanga SC vs Mwadui FC

brave one

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
4,876
7,366
Vinara wa ligi kuu Yanga Leo wakiongoza na Nahodha wao mpya Ibrahim Ajib watakuwa wakipapatuana na wachimba madini kutoka shinyanga Mwadui fc.
Yanga itakosa huduma ya kinara wa ufungaji Makambo aliekwenda kwao Congo na kupoteza mawasiliano.
Mechi inaanza saa moja kamili
Kikosi Cha Yanga
50294437_1255545627945009_5952106897321492480_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vinara wa ligi kuu Yanga Leo wakiongoza na Nahodha wao mpya Ibrahim Ajib watakuwa wakipapatuana na wachimba madini kutoka shinyanga Mwadui fc.
Yanga itakosa huduma ya kinara wa ufungaji Makambo aliekwenda kwao Congo na kupoteza mawasiliano.
Mechi inaanza saa moja kamili
Kikosi Cha Yanga
View attachment 995456

Sent using Jamii Forums mobile app

Makambo hajapoteza mawasiliano ...anarudi kesho au leo alfajiri kwa kupitia Ethiopia...
 
Back
Top Bottom