SyntaxReaper
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 364
- 293
Sio kwenye tpesa tuu hata ukitaka kutumia sim bank kwa laini ya TTCL utakesha mkuu najuta sana kusajili huduma za kibank na huu mtandao wao ..Habari wakuu,
Jana asubuhi nmetumiwa hela kwa mtandao tajwa ili nkafanye malipo kadhaa, kasheshe kwenda kutoa pesa husika napata ujumbe "Transaction not allowed, you will receive short message".
Nikiulizia salio pia inagoma, nikipiga customer service naambiwa wahudumu wetu wanahudumia wateja wengine, kifupi hakuna msaada, na hiyo hali inaendelea mpaka sasa.
Kama kuna hitilafu kwanini msiwataarifu wateja wenu mapema?
Mnafeli.
Lkn ni hivi karibuni tu,ttcl walianza poa sn,lkn cku hizi internet inwz ikakata for 24hrs,internet nilishaacha kutumia wao baada ya hilo la kukata masaa 24Sio kwenye tpesa tuu hata ukitaka kutumia sim bank kwa laini ya TTCL utakesha mkuu najuta sana kusajili huduma za kibank na huu mtandao wao ..
Hawa kila eneo wana dosari
Povu tyr 🤣CCM imeharibu taifa