Kuhusu pannel kuna mtu zaid ya 16 na zaid ya 10 wanapata chance ya kuuliza maswali. Maswali yanabadilika kulingana na position, mfano maswali ya watu wa research officer (chemical & process engineer) yalikua tofauti kabisa na watu wa research officer (mechanical engineer). Kitu kingine ni kwamba muda wa interview kwa kila candidate ni mfupi mno yaan ni chin ya dk 10, so ina bidi kubuild confo toka unapoanza interview. Pia hakuna yale maswali ya general tuliyoyazoea, km why the company should hire you, maswali yote ni technical kulingana position uliyoomba. All in all confo ni muhimu sana maana jamaa wapo na maswali waliyoyaandaa, so almost all questions are technical ones. Tea, lunch na maji wanatoa, so guys worry not about those stuffs. God bless ya people.
Nina hasira..
ni team wazee,vijana au mixer kwenye panel maana wazee nao ni noma sana kwa kweli kaka Borro
Hivi mkuu kama ule mtihani wao umefaulu ila bado hawajakupigia simu si unaweza ukkaibuka hiyo siku ya interview?Pannel ni watu 12 wanajigawa upande mmoja sita mwingine sita we unawekwa mtu kati kama unapigwa lecture hivi.
Muhimu jiandae sana na maswali ya proffesional yako pia jiandae sana na maswali general ya kijamii ambayo ni too technical hakikisha inakuwa updated na mambo ya kidunia.
Hivi mkuu kama ule mtihani wao umefaulu ila bado hawajakupigia simu si unaweza ukkaibuka hiyo siku ya interview?
Intaview za tpdc huwa hawaulizi maswali ya mishahara au general questions. Wejipange maswali huwa yanabase kwenye ur professional in deep. Mungu atutangulie.