TPDC nini kinaendelea

TPDC nini kinaendelea

MBUNTE 84

Member
Joined
Apr 7, 2014
Posts
26
Reaction score
2
Wake tuliofanya interview pale tambaza jamaa walisema tuangalie web site Yao ila mbona kimya au vi memo vinatembea
 
Wake tuliofanya interview pale tambaza jamaa walisema tuangalie web site Yao ila mbona kimya au vi memo vinatembea

na mm nawasubiri, tusiwafikirie kwamba vimemo na nn, wanasahisha naamini, ile mara ya kwanza walifanya fasta labda ilikuwa nguvu ya soda, nw ndo wana mwaga wino, c unajua wabongo kuandika?
 
Walisema jioni na si asubuhi kama hii, wenzenu wamekeshs wanasahihisha.......
 
Msaada kidogo wakuu, vp interview ilkuaje, maswali yao yanahusu nn??
 
Hahaaaha watu mna moto tulieni nafasi zenyewe utakuta mbili mliofanya interview mia!
 
Wake tuliofanya interview pale tambaza jamaa walisema tuangalie web site Yao ila mbona kimya au vi memo vinatembea

Mkuu hata mimi nasubiri kwenda kufanya huo usahili. Ila kwa mimi natakiwa nifanye tarehe 10 April so huenda wanasubiri wote wafanye ndio watoe majibu.
 
Hahaaaha watu mna moto tulieni nafasi zenyewe utakuta mbili mliofanya interview mia!

Nikweli kabisa kuna sehemu nyingine watu wa 5 interview watu zaidi ya 600.
Field yangu ni nafasi 26 watu 81.
 
yakiwahi shida,yakichelewa shida!!ila vyovyote iwavyo lengo ni kupata nafasi so tuendelee kuomba MUNGU.
 
na mm nawasubiri, tusiwafikirie kwamba vimemo na nn, wanasahisha naamini, ile mara ya kwanza walifanya fasta labda ilikuwa nguvu ya soda, nw ndo wana mwaga wino, c unajua wabongo kuandika?

Mkuu, sio hivyo tu bali idadi ya waombaji huenda imekuwa nyingi kwa nafasi zilizobaki.
 
Msaada kidogo wakuu, vp interview ilkuaje, maswali yao yanahusu nn??

Mkuu, maswali yanaulizwa kutokana na kada ya utaalam wako, mfano, kama wewe ni mwanasheria basi unapigiliwa misumari ya sheria; vivyo hivyo, kwa wahasibu, mainjinia, wakaguzi, n.k

Kwahiyo, wewe unataka kujua maswali ya kada gani ili waliofanya udahili wakupe tips za yaliyojiri kwenye chumba cha udahili?
 
Kwa mfano wale wa uhasibu walikua wanauliza maswali yote kwenye standards

Mfano kuna swali ndo nimelisoma jana kwenye review

1."Depreciation is ceased to be charged on Inventory when it is "held for sale"

2. Carying value of An asset = the lower of
1. Cost
1. Fv less disposal cost

Nk

Paper ilikua tamu sanaa japo hayo yote nimekosa, watakaopita ile interview nitawakubali sana... Ilikua very standard na ukipita kweli we kichwa...


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Mkuu hata mimi nasubiri kwenda kufanya huo usahili. Ila kwa mimi natakiwa nifanye tarehe 10 April so huenda wanasubiri wote wafanye ndio watoe majibu.
Wale waliofanya mwanzoni mfano madereva, CPE na mechanical majibu yalitoka kesho yake.
 
Nikweli kabisa kuna sehemu nyingine watu wa 5 interview watu zaidi ya 600.
Field yangu ni nafasi 26 watu 81.

Equally, LEGAL OFFICERS II, available posts ni 5 but, amazingly, shortlisted were 145.
 
Nikweli kabisa kuna sehemu nyingine watu wa 5 interview watu zaidi ya 600.
Field yangu ni nafasi 26 watu 81.
Bora nyie sisi tulikuwa 70 nafasi zenyewe 8 Madereva 400 na kitu nafasi zenyewe 10
 
Wewe komaa tu ila usiingie deep sana maana mtihani wenyewe maswali ya kawaida ila yana mitego. Mimi ndiyo nachungulia matokeo website yao kila dakika naona bado.
 
Wewe komaa tu ila usiingie deep sana maana mtihani wenyewe maswali ya kawaida ila yana mitego. Mimi ndiyo nachungulia matokeo website yao kila dakika naona bado.

Hahaaa poa sana mkuu. Hata mie siingii deep sana nina uzoefu sana na hizi interview.
 
Kwa mfano wale wa uhasibu walikua wanauliza maswali yote kwenye standards

Mfano kuna swali ndo nimelisoma jana kwenye review

1."Depreciation is ceased to be charged on Inventory when it is "held for sale"

2. Carying value of An asset = the lower of
1. Cost
1. Fv less disposal cost

Nk

Paper ilikua tamu sanaa japo hayo yote nimekosa, watakaopita ile interview nitawakubali sana... Ilikua very standard na ukipita kweli we kichwa...


In this world nothing is certain than Tax and Death.

ilikuwa maltiple choice au? eti mkuu
 
Back
Top Bottom