Tozo zimechukua nafasi ya upinzani

Jerlamarel

JF-Expert Member
Sep 14, 2021
843
2,517
𝕋𝕆℀𝕆 ℕ𝔻𝕀𝕆 ℕ𝕁𝕀𝔸 ℙ𝔼𝕂𝔼𝔼 𝕐𝔸 π•‚π•Œβ„€π•€π”Ήπ”Έ 𝔾𝔸ℙ𝔼 𝕃𝔸 π•‹π”Έπ•Šπ•‚ 𝔽𝕆ℝℂ𝔼 ℀𝔸 𝕁ℙ𝕄?

π™½πšŠ πšƒπš‘πšŠπšπšŽπš’ π™Ύπš•πšŽ π™Όπšžπšœπš‘πš’.


Ukiniambia niishauri Serikali yangu kuhusu Tozo nitawashauri kwa haraka kama ifuatavyo.

Rais Samia Sio muumini wa task Force kama zile za Magufuli za kupambana na matajiri pamoja na wafamya Biashara kwenye kukusanya kodi. Rais Samia anaamini kuwa Wafanyabiashara pamoja na matajiri watalipa kodi yao vizuri na kwa kiwango ambacho ni halali na kwa wakati.

UKWELI
Ukweli ni kwamba kwa Afrika na hasa Tanzania hakuna mtu huwa anafanya kitu kwa hiyari yake bila kusukumwa tena jambo lenyewe liwe ni kuhusu kulipa kodi uipeleke serikalini kama inavyohiyajika sio rahisi kama tunavyofikiria. Kwa kulifahamu hilo Serikali iliyopita iliamua kutembea na wafanyabiashara kwa Task force kukusanya fedha.

Kwa mwafrika kukwepa kodi ni ufahari wakati kwa wenzetu ulaya ni aibu. Katika hali kama hiyo Serikali haiwezi kupata Mapato kwa kiwango inachokihitaji na matokeo yake lazima hizi Tozo ziwepo.

KINACHOTOKEA
Kutokana na Hali hiyo option pekee ambayo Mwigulu Nchemba anayo ni kutoza tozo mbalimbali. Matokeo yake kuna kundi linaumia zaidi. Mathalani kundi la wafanyakazi kwa mfano huyu unamkata PAYE, baadaye akinunua Kitu dukani analipa VAT, baadaye akituma pesa au kutoa anakatwa, sasa hivi ule mshahara ulioukata PAYE unaufuata tena Kule bank unaukata nk.

Unakuta Mfanyakazi huyu karibia Mshahara wote umerudi ulikotokea au umebaki kiduchu sana na hali yake inazidi kuwa mbaya.

Kwa mfanyabiashara yeye halipi PAYE.... hivi Dr. Mwigulu aliwahi kufikiria kama akiwawekea kina Mo, GSM, Baharesa PAYE atapata pesa shilingi ngapi? Hivi unajua kuna Mfanyabiashara anaingiza kwa mwaka Shilingi milioni 100 lakini analipa Kodi chini ya shilingi milioni moja? wakati Mfanyakazi anayelipwa mshahara wa mwaka milioni 10 analipa Kodi zaidi ya Milioni moja?

MATOKEO
Matokeo ya hizi tozo ni kwenye madhara ya kisiasa. Mahali pekee ambapo wananchi wataweza kukuhoji kwa vitendo na kukuonyesha kuwa hawakubaliani na wanayofanyiwa ni kwenye Sanduku la kura.

Juzi nilisema hapa kuwa Upinzani wa kina Mbowe upo kimya lakini hizi tozo zimechukua nafasi ya upinzani. TuIangalie na tusicheke na watu kwa lengo la kuwafurahisha. Duniani kote toka zama za Roma hawakucheka na watu kwenye masuala yanayohusu kodi. Bora wachache walie lakini wengi wakupende ambao ndio Voters.

Dr. Mwigulu hebu kakae na Makamu wa Rais mwambie huko kwenye Chungu akiwa waziri wa Fedha kulikuwaje? alikuwa anapata Fedha wapi? halafu muombe muende Kwa Rais ninyi wawili tu mjadiliane je hatuwezi kurudi kule tulikotoka kwenye Task Force? nawaambieni hawa wafanyabiashara hawawezi kulipa kodi kwa style tunayoitaka bado waafrika ni washenzi hivyo naamini kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi hapa nchini.

Mwisho tukubali ndani ya watanzania milioni 50 plus kuna watu wengine ambao hawapo kwenye mfumo ambao wana mawazo ya vyanzo vipya vya mapato. Tangaza kama kuna mtanzania mwenye chanzo kipya cha mapato au kwa namna moja au nyingine anafahamu chanzo kinachopoteza mapato awasilishe mawazo yake na apewe asilimia 5 tu ya chanzo atakachoibua ambacho hakimuumizi mwananchi au eneo linalopoteza mapato na atambulike na Serikali. Naamini tuna mawazo mengi sana toka kwa watanzania ambayo yanaweza kuleta mwanga mpya...

Achana na mawazo ya wale wabunge 393 hamna kitu wanajua 😁😁😁

Kupanga ni kuchagua:- Tukubali kugombana na wafanyabiashara au tuwafurahishe halafu tugombane na wananchi au tuwafurahishe.

Ole Mushi
0712702602.
 
Mushi amekula kiti moto, akashushia na mbege Sasa ndio anajamba ushuzi huu.

Sikubaliani na huh ujinga wa tozo na wala siungi mkono uhuni wa kuwapora pesa wafanyabiashara na matajiri kama alivyokuwa akifanya shetani Magufuli.
Soma hadi mwisho...
 
𝕋𝕆℀𝕆 ℕ𝔻𝕀𝕆 ℕ𝕁𝕀𝔸 ℙ𝔼𝕂𝔼𝔼 𝕐𝔸 π•‚π•Œβ„€π•€π”Ήπ”Έ 𝔾𝔸ℙ𝔼 𝕃𝔸 π•‹π”Έπ•Šπ•‚ 𝔽𝕆ℝℂ𝔼 ℀𝔸 𝕁ℙ𝕄?


π™½πšŠ πšƒπš‘πšŠπšπšŽπš’ π™Ύπš•πšŽ π™Όπšžπšœπš‘πš’.

Ukiniambia niishauri Serikali yangu kuhusu Tozo nitawashauri kwa haraka kama ifuatavyo.

Rais Samia Sio muumini wa task Force kama zile za Magufuli za kupambana na matajiri pamoja na wafamya Biashara kwenye kukusanya kodi. Rais Samia anaamini kuwa Wafanyabiashara pamoja na matajiri watalipa kodi yao vizuri na kwa kiwango ambacho ni halali na kwa wakati.

UKWELI
Ukweli ni kwamba kwa Afrika na hasa Tanzania hakuna mtu huwa anafanya kitu kwa hiyari yake bila kusukumwa tena jambo lenyewe liwe ni kuhusu kulipa kodi uipeleke serikalini kama inavyohiyajika sio rahisi kama tunavyofikiria. Kwa kulifahamu hilo Serikali iliyopita iliamua kutembea na wafanyabiashara kwa Task force kukusanya fedha.

Kwa mwafrika kukwepa kodi ni ufahari wakati kwa wenzetu ulaya ni aibu. Katika hali kama hiyo Serikali haiwezi kupata Mapato kwa kiwango inachokihitaji na matokeo yake lazima hizi Tozo ziwepo.

KINACHOTOKEA.

Kutokana na Hali hiyo option pekee ambayo Mwigulu Nchemba anayo ni kutoza tozo mbalimbali. Matokeo yake kuna kundi linaumia zaidi. Mathalani kundi la wafanyakazi kwa mfano huyu unamkata PAYE, baadaye akinunua Kitu dukani analipa VAT, baadaye akituma pesa au kutoa anakatwa, sasa hivi ule mshahara ulioukata PAYE unaufuata tena Kule bank unaukata nk.

Unakuta Mfanyakazi huyu karibia Mshahara wote umerudi ulikotokea au umebaki kiduchu sana na hali yake inazidi kuwa mbaya.

Kwa mfanyabiashara yeye halipi PAYE.... hivi Dr. Mwigulu aliwahi kufikiria kama akiwawekea kina Mo, GSM, Baharesa PAYE atapata pesa shilingi ngapi? Hivi unajua kuna Mfanyabiashara anaingiza kwa mwaka Shilingi milioni 100 lakini analipa Kodi chini ya shilingi milioni moja? wakati Mfanyakazi anayelipwa mshahara wa mwaka milioni 10 analipa Kodi zaidi ya Milioni moja?

MATOKEO.

Matokeo ya hizi tozo ni kwenye madhara ya kisiasa. Mahali pekee ambapo wananchi wataweza kukuhoji kwa vitendo na kukuonyesha kuwa hawakubaliani na wanayofanyiwa ni kwenye Sanduku la kura.

Juzi nilisema hapa kuwa Upinzani wa kina Mbowe upo kimya lakini hizi tozo zimechukua nafasi ya upinzani. TuIangalie na tusicheke na watu kwa lengo la kuwafurahisha. Duniani kote toka zama za Roma hawakucheka na watu kwenye masuala yanayohusu kodi. Bora wachache walie lakini wengi wakupende ambao ndio Voters.

Dr. Mwigulu hebu kakae na Makamu wa Rais mwambie huko kwenye Chungu akiwa waziri wa Fedha kulikuwaje? alikuwa anapata Fedha wapi? halafu muombe muende Kwa Rais ninyi wawili tu mjadiliane je hatuwezi kurudi kule tulikotoka kwenye Task Force? nawaambieni hawa wafanyabiashara hawawezi kulipa kodi kwa style tunayoitaka bado waafrika ni washenzi hivyo naamini kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi hapa nchini.

Mwisho tukubali ndani ya watanzania milioni 50 plus kuna watu wengine ambao hawapo kwenye mfumo ambao wana mawazo ya vyanzo vipya vya mapato. Tangaza kama kuna mtanzania mwenye chanzo kipya cha mapato au kwa namna moja au nyingine anafahamu chanzo kinachopoteza mapato awasilishe mawazo yake na apewe asilimia 5 tu ya chanzo atakachoibua ambacho hakimuumizi mwananchi au eneo linalopoteza mapato na atambulike na Serikali. Naamini tuna mawazo mengi sana toka kwa watanzania ambayo yanaweza kuleta mwanga mpya...

Achana na mawazo ya wale wabunge 393 hamna kitu wanajua

Kupanga ni kuchagua:- Tukubali kugombana na wafanyabiashara au tuwafurahishe halafu tugombane na wananchi au tuwafurahishe.

Ole Mushi
0712702602.
Tatizo hatupendi kuambiwa ukweli na kushauriwa kutoka kwa watu wa pembeni
 
Hoja nzuri sana.

Na si kwamba hatutaki kukatwa tozo ila tatizo ni kutozwa zaidi ya mara moja. Na hakuna uwiano sawa kwa wale wasiotumia taasisi za fedha za ndani ya nchi na hata wale wasiotumia kabisa!

Mwanafunzi wa chuo anawekewa boom kupitia bank, wakati wa kutoa anakatwa tozo na service charge na huyu bado hajaanza kuwekeza.

Mfanyabiashara anakatwa kodi, anapeleka fedha zake bank, wakati wa kutoa anakatwa tena tozo ya serikali.

(Kumbuka bidhaa nazo zinalipiwa VAT)
Huu ni wizi hata kama ni %0.0001
Watafute mbinu nyingine ya kukusanya mapato!
 
Na hizo tozo wanazotukamua ,wanaishia kujilipa na kukwapua bila huruma, akili zimekwamia kwenye kuwakamua wananchi na si kuwasaidia wenye mawazo mapya kuanzisha vyanzo vipya, wale wabunge wanaopitisha kila muswada bila kujadili kwa sababu wao hawaguswi, hawatufai hata kidogo hakuna la maana wanalofanya zaidi ya kusaini posho tu
 
𝕋𝕆℀𝕆 ℕ𝔻𝕀𝕆 ℕ𝕁𝕀𝔸 ℙ𝔼𝕂𝔼𝔼 𝕐𝔸 π•‚π•Œβ„€π•€π”Ήπ”Έ 𝔾𝔸ℙ𝔼 𝕃𝔸 π•‹π”Έπ•Šπ•‚ 𝔽𝕆ℝℂ𝔼 ℀𝔸 𝕁ℙ𝕄?


π™½πšŠ πšƒπš‘πšŠπšπšŽπš’ π™Ύπš•πšŽ π™Όπšžπšœπš‘πš’.


Ukiniambia niishauri Serikali yangu kuhusu Tozo nitawashauri kwa haraka kama ifuatavyo.

Rais Samia Sio muumini wa task Force kama zile za Magufuli za kupambana na matajiri pamoja na wafamya Biashara kwenye kukusanya kodi. Rais Samia anaamini kuwa Wafanyabiashara pamoja na matajiri watalipa kodi yao vizuri na kwa kiwango ambacho ni halali na kwa wakati.

UKWELI
Ukweli ni kwamba kwa Afrika na hasa Tanzania hakuna mtu huwa anafanya kitu kwa hiyari yake bila kusukumwa tena jambo lenyewe liwe ni kuhusu kulipa kodi uipeleke serikalini kama inavyohiyajika sio rahisi kama tunavyofikiria. Kwa kulifahamu hilo Serikali iliyopita iliamua kutembea na wafanyabiashara kwa Task force kukusanya fedha.

Kwa mwafrika kukwepa kodi ni ufahari wakati kwa wenzetu ulaya ni aibu. Katika hali kama hiyo Serikali haiwezi kupata Mapato kwa kiwango inachokihitaji na matokeo yake lazima hizi Tozo ziwepo.


KINACHOTOKEA.

Kutokana na Hali hiyo option pekee ambayo Mwigulu Nchemba anayo ni kutoza tozo mbalimbali. Matokeo yake kuna kundi linaumia zaidi. Mathalani kundi la wafanyakazi kwa mfano huyu unamkata PAYE, baadaye akinunua Kitu dukani analipa VAT, baadaye akituma pesa au kutoa anakatwa, sasa hivi ule mshahara ulioukata PAYE unaufuata tena Kule bank unaukata nk.

Unakuta Mfanyakazi huyu karibia Mshahara wote umerudi ulikotokea au umebaki kiduchu sana na hali yake inazidi kuwa mbaya.

Kwa mfanyabiashara yeye halipi PAYE.... hivi Dr. Mwigulu aliwahi kufikiria kama akiwawekea kina Mo, GSM, Baharesa PAYE atapata pesa shilingi ngapi? Hivi unajua kuna Mfanyabiashara anaingiza kwa mwaka Shilingi milioni 100 lakini analipa Kodi chini ya shilingi milioni moja? wakati Mfanyakazi anayelipwa mshahara wa mwaka milioni 10 analipa Kodi zaidi ya Milioni moja?


MATOKEO.

Matokeo ya hizi tozo ni kwenye madhara ya kisiasa. Mahali pekee ambapo wananchi wataweza kukuhoji kwa vitendo na kukuonyesha kuwa hawakubaliani na wanayofanyiwa ni kwenye Sanduku la kura.

Juzi nilisema hapa kuwa Upinzani wa kina Mbowe upo kimya lakini hizi tozo zimechukua nafasi ya upinzani. TuIangalie na tusicheke na watu kwa lengo la kuwafurahisha. Duniani kote toka zama za Roma hawakucheka na watu kwenye masuala yanayohusu kodi. Bora wachache walie lakini wengi wakupende ambao ndio Voters.

Dr. Mwigulu hebu kakae na Makamu wa Rais mwambie huko kwenye Chungu akiwa waziri wa Fedha kulikuwaje? alikuwa anapata Fedha wapi? halafu muombe muende Kwa Rais ninyi wawili tu mjadiliane je hatuwezi kurudi kule tulikotoka kwenye Task Force? nawaambieni hawa wafanyabiashara hawawezi kulipa kodi kwa style tunayoitaka bado waafrika ni washenzi hivyo naamini kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi hapa nchini.

Mwisho tukubali ndani ya watanzania milioni 50 plus kuna watu wengine ambao hawapo kwenye mfumo ambao wana mawazo ya vyanzo vipya vya mapato. Tangaza kama kuna mtanzania mwenye chanzo kipya cha mapato au kwa namna moja au nyingine anafahamu chanzo kinachopoteza mapato awasilishe mawazo yake na apewe asilimia 5 tu ya chanzo atakachoibua ambacho hakimuumizi mwananchi au eneo linalopoteza mapato na atambulike na Serikali. Naamini tuna mawazo mengi sana toka kwa watanzania ambayo yanaweza kuleta mwanga mpya...

Achana na mawazo ya wale wabunge 393 hamna kitu wanajua

Kupanga ni kuchagua:- Tukubali kugombana na wafanyabiashara au tuwafurahishe halafu tugombane na wananchi au tuwafurahishe.

Ole Mushi
0712702602.
Ole mushi umeulizia huko TRA kila mwezi wanakusanya shilingi ngapi za Kodi na kipindi ch Jpm Cha hizo Task force kwa mwezi walikuwa wanakusanya Bei gani ??
Je wapiga Kura hawastahili kuchangia pato la Taifa ?
Ama kwa tozo rafiki au kwa Kodi rafiki ?
Je unatuaminisha kuwa Matajiri pekee ndiyo walipe Kodi tena kwa mtutu na kwa kubambikiwa Kodi ??
Ole leo hujawaza sawasawa yawezekana umewaza kutumia kivuli Cha JPM.
 
𝕋𝕆℀𝕆 ℕ𝔻𝕀𝕆 ℕ𝕁𝕀𝔸 ℙ𝔼𝕂𝔼𝔼 𝕐𝔸 π•‚π•Œβ„€π•€π”Ήπ”Έ 𝔾𝔸ℙ𝔼 𝕃𝔸 π•‹π”Έπ•Šπ•‚ 𝔽𝕆ℝℂ𝔼 ℀𝔸 𝕁ℙ𝕄?


π™½πšŠ πšƒπš‘πšŠπšπšŽπš’ π™Ύπš•πšŽ π™Όπšžπšœπš‘πš’.


Ukiniambia niishauri Serikali yangu kuhusu Tozo nitawashauri kwa haraka kama ifuatavyo.

Rais Samia Sio muumini wa task Force kama zile za Magufuli za kupambana na matajiri pamoja na wafamya Biashara kwenye kukusanya kodi. Rais Samia anaamini kuwa Wafanyabiashara pamoja na matajiri watalipa kodi yao vizuri na kwa kiwango ambacho ni halali na kwa wakati.

UKWELI
Ukweli ni kwamba kwa Afrika na hasa Tanzania hakuna mtu huwa anafanya kitu kwa hiyari yake bila kusukumwa tena jambo lenyewe liwe ni kuhusu kulipa kodi uipeleke serikalini kama inavyohiyajika sio rahisi kama tunavyofikiria. Kwa kulifahamu hilo Serikali iliyopita iliamua kutembea na wafanyabiashara kwa Task force kukusanya fedha.

Kwa mwafrika kukwepa kodi ni ufahari wakati kwa wenzetu ulaya ni aibu. Katika hali kama hiyo Serikali haiwezi kupata Mapato kwa kiwango inachokihitaji na matokeo yake lazima hizi Tozo ziwepo.


KINACHOTOKEA.

Kutokana na Hali hiyo option pekee ambayo Mwigulu Nchemba anayo ni kutoza tozo mbalimbali. Matokeo yake kuna kundi linaumia zaidi. Mathalani kundi la wafanyakazi kwa mfano huyu unamkata PAYE, baadaye akinunua Kitu dukani analipa VAT, baadaye akituma pesa au kutoa anakatwa, sasa hivi ule mshahara ulioukata PAYE unaufuata tena Kule bank unaukata nk.

Unakuta Mfanyakazi huyu karibia Mshahara wote umerudi ulikotokea au umebaki kiduchu sana na hali yake inazidi kuwa mbaya.

Kwa mfanyabiashara yeye halipi PAYE.... hivi Dr. Mwigulu aliwahi kufikiria kama akiwawekea kina Mo, GSM, Baharesa PAYE atapata pesa shilingi ngapi? Hivi unajua kuna Mfanyabiashara anaingiza kwa mwaka Shilingi milioni 100 lakini analipa Kodi chini ya shilingi milioni moja? wakati Mfanyakazi anayelipwa mshahara wa mwaka milioni 10 analipa Kodi zaidi ya Milioni moja?


MATOKEO.

Matokeo ya hizi tozo ni kwenye madhara ya kisiasa. Mahali pekee ambapo wananchi wataweza kukuhoji kwa vitendo na kukuonyesha kuwa hawakubaliani na wanayofanyiwa ni kwenye Sanduku la kura.

Juzi nilisema hapa kuwa Upinzani wa kina Mbowe upo kimya lakini hizi tozo zimechukua nafasi ya upinzani. TuIangalie na tusicheke na watu kwa lengo la kuwafurahisha. Duniani kote toka zama za Roma hawakucheka na watu kwenye masuala yanayohusu kodi. Bora wachache walie lakini wengi wakupende ambao ndio Voters.

Dr. Mwigulu hebu kakae na Makamu wa Rais mwambie huko kwenye Chungu akiwa waziri wa Fedha kulikuwaje? alikuwa anapata Fedha wapi? halafu muombe muende Kwa Rais ninyi wawili tu mjadiliane je hatuwezi kurudi kule tulikotoka kwenye Task Force? nawaambieni hawa wafanyabiashara hawawezi kulipa kodi kwa style tunayoitaka bado waafrika ni washenzi hivyo naamini kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi hapa nchini.

Mwisho tukubali ndani ya watanzania milioni 50 plus kuna watu wengine ambao hawapo kwenye mfumo ambao wana mawazo ya vyanzo vipya vya mapato. Tangaza kama kuna mtanzania mwenye chanzo kipya cha mapato au kwa namna moja au nyingine anafahamu chanzo kinachopoteza mapato awasilishe mawazo yake na apewe asilimia 5 tu ya chanzo atakachoibua ambacho hakimuumizi mwananchi au eneo linalopoteza mapato na atambulike na Serikali. Naamini tuna mawazo mengi sana toka kwa watanzania ambayo yanaweza kuleta mwanga mpya...

Achana na mawazo ya wale wabunge 393 hamna kitu wanajua

Kupanga ni kuchagua:- Tukubali kugombana na wafanyabiashara au tuwafurahishe halafu tugombane na wananchi au tuwafurahishe.

Ole Mushi
0712702602.
Shida hata upinzani wetu sio strong. Kuna muda Ccm wanazingua ila ukigeuka nyuma kutfta mbadala unakuta bora ccm mara mia. Kiufupi siasa za Tz kila mmoja yupo kimaslahi , kila mmoja huwa mkali na msemaji pale maslahi yake yanapoathiriwa.
 
Maneno mazito sana! Nchi hii ina watu wenye ujuzi wa mambo mengi ya maana kwa mustakabali wa nchi yetu lakini watu walioko huko ndani wanajijali wao kwa wao kwa kuangalia huyu ni mwenzetu na huyu si mwenzetu!

So sad!
 
Tukubali kugombana na wafanyabiashara au tuwafurahishe halafu tugombane na wananchi au tuwafurahishe.
Kugombana na wafanyabiashara ni hatari zaidi kwa watawala maana wana nguvu ya ushawishi (fedha).

Kwa hapa Tanzania wananchi walalaHOI hawana la kumfanya mtawala hata akiwatoza tozo ya Pumzi bado atakuwa salama.

Ndiyo maana awamu ya sita wamechagua ugomvi salama.
 
Katika harakati za kujipanua kibiashara nikaenda Kununua Heater 10 za saloon ,Kila Moja shs 250,000 Cha kushangaza dogo niliyemtuma karudi na risiti ya 1,400,000 ,sababu kaambiwa hawawezi kumpa risiti ya bei kamili .Kiufupi mwenye duka kajipigisha short kwa alichokutana nacho ,wafanyabiashara 90% wanakwepa Kodi.Nguvu inahitajika yenye weredi ndani yake.
 
Katika harakati za kujipanua kibiashara nikaenda Kununua Heater 10 za saloon ,Kila Moja shs 250,000 Cha kushangaza dogo niliyemtuma karudi na risiti ya 1,400,000 ,sababu kaambiwa hawawezi kumpa risiti ya bei kamili .Kiufupi mwenye duka kajipigisha short kwa alichokutana nacho ,wafanyabiashara 90% wanakwepa Kodi.Nguvu inahitajika yenye weredi ndani yake.
Mama yenu ni mweupe peee!

Alisema hataki kodi za dhuruma!

Kwa akili yake aliona kuwabana wafanyabiashara walipe kodi ni dhuruma!
 
Mba
Hoja nzuri sana.

Na si kwamba hatutaki kukatwa tozo ila tatizo ni kutozwa zaidi ya mara moja. Na hakuna uwiano sawa kwa wale wasiotumia taasisi za fedha za ndani ya nchi na hata wale wasiotumia kabisa!

Mwanafunzi wa chuo anawekewa boom kupitia bank, wakati wa kutoa anakatwa tozo na service charge na huyu bado hajaanza kuwekeza.

Mfanyabiashara anakatwa kodi, anapeleka fedha zake bank, wakati wa kutoa anakatwa tena tozo ya serikali.

(Kumbuka bidhaa nazo zinalipiwa VAT)
Huu ni wizi hata kama ni %0.0001
Watafute mbinu nyingine ya kukusanya mapato!
Mbaya zaidi makato ya tozo no makubwa sana bila sababu tunaambiwa hela inayokatwa ni kidogo leo nimeona hela niliyokatwa nimelia kweli tozo ina maumivu makubwa sana
 
Back
Top Bottom