kizo83
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 354
- 332
Umefanikiwa kuongeza Sh 500.00 Tsh.VAT 76.27 Tsh,Salio lako jipya ni 501.28 Tsh.Tumia WhatsApp&FB WIKI NZIMA kwa Sh 1000tu.Piga *148*00#
Sijaelewa hili Naomba mwenye uelewa anieleweshe tafadhali
-----
Sijaelewa hili Naomba mwenye uelewa anieleweshe tafadhali
-----
Sasa ni rasmi kuwa vocha za simu zinatozwa kodi ya ongezeko la thamani maarufu kama VAT. Dakika chache zilizopita nimenunua vocha ya shilingi 5000 kupitia tigopesa.
Katika vocha hiyo,shilingi 752.71 imekatwa kama VAT. Kweli Serikali imechachamaa kukusanya kodi. Ndiyo mambo ya kinchi hayo.
Hiyo VAT inatoka ndani ya hilo salio ulilonunua na si ktk account yako.
Wamekuonesha vat ila haiathiri pesa zako zilizopo.