Nahamia kwenye bangi rasmi. Kabla ya hapo...wacha tu ninywe mpaka za kesho.Daaaaah unaambiwa hiyo ni miamala ya simu tu, I guess wakiongeza tozo kwenye pombe utaruru humu tukufariji.
Bajet kubwa zisizo na maana zenye lengo la kuwanufaisha watawala hutokana na kodi zetu hivyo kila anaepigia debe tozo ni mlamba asali kwa namna moja au nyingine,Nchi hii viongozi wakiamua kutetea jambo lao, wanatumia mbinu za kila aina bila kujua kwamba mbinu zao zinaibua maswali zaidi.
Kwa mfano, kama tozo pekee ineweza kukusanywa kwa kiwango hicho na kuhenga hiyo miundombinu, je kwa miaka kadhaa iliyopita fedha za uwekezaji, utalii, ushuru wa masoko, mikopo, ufadhili nk, si tungeshajenga viwanda vingi kila mkoa???
Kwanini tozo zionekane kupewa nguvu zaidi kwenye matumizi kuliko makusanyo mengine???
Tozo ni wizi!
Kweli kabisa.Bajet kubwa zisizo na maana zenye lengo la kuwanufaisha watawala hutokana na kodi zetu hivyo kila anaepigia debe tozo ni mlamba asali kwa namna moja au nyingine,
Huyu waziri wa tamisemi sura yake haifanani kabisa na kazi anazofanyishwa.
Wangetuwekea michanganuo yote ya Kodi za wananchi na matumizi husika! Sioni haja ya kushupalia tozo kama taifa halijawahi kujengea vituo vya afyaNchi hii viongozi wakiamua kutetea jambo lao, wanatumia mbinu za kila aina bila kujua kwamba mbinu zao zinaibua maswali zaidi.
Kwa mfano, kama tozo pekee ineweza kukusanywa kwa kiwango hicho na kuhenga hiyo miundombinu, je kwa miaka kadhaa iliyopita fedha za uwekezaji, utalii, ushuru wa masoko, mikopo, ufadhili nk, si tungeshajenga viwanda vingi kila mkoa???
Kwanini tozo zionekane kupewa nguvu zaidi kwenye matumizi kuliko makusanyo mengine???
Tozo ni wizi!
Mungu atutetee.Mungu hawezi kutuacha kwenye mikono yavm dhuluma.Duuh.
Sasaaa zile pesa za covid.
Mikopo WB si mlituambia kuwa zilifanya kazi hizi hizi??
Kwanini mtudanganye lakini.
Hamjui kuwa hayo madaraka yenu ni ya muda tu??
Mtakuja umbuka na msiamini yatayowapata.
234 Health Centers/117bil.=2bil.Duuh.
Sasaaa zile pesa za covid.
Mikopo WB si mlituambia kuwa zilifanya kazi hizi hizi??
Kwanini mtudanganye lakini.
Hamjui kuwa hayo madaraka yenu ni ya muda tu??
Mtakuja umbuka na msiamini yatayowapata.
Value for money na uwazi na uwajibikaji!! Saving ya hazina kuu imekwenda kwenye matumizi Gani!?Nawashangaa wanavyotumia nguvu kubwa kutetea hizi tozo.
Uwepo wa tozo unaacha maswali mengi sana, wanatakiwa waje na majibu ya kuridhisha, sio kulazimisha kama wanavyofanya.
Hivyo vituo wanavyodai ni vipya vilijengwa lini, ukakamilika lini ujenzi wake, kwa thamani ipi kila kituo?
Haiwezekani wanakusanya tozo karibia kila dakika, hawatuambii mapato na matumizi yake kila mwezi, halafu ghafla wanaibuka na majibu ya jumla kutuambia bil kadhaa zimejenga vituo 264 nchi nzima, huu ni wizi wa mchana.
Ahahah Mwigulu ni Mfalme wa pepo wachafu serikali hii. Namfananisha na hao wadau walokaa juu ya hayo Mawe.Kweli kabisa.
Yaani Bashungwa na Biteko, sura zao hazifananii kabisa kusema uongo!
Maskini angepewa tu wizara nyingine, hayo mambo ya uongo uongo wakawaachis akina mwigulu.
Maana amedanganya hafi mawe, yanajua yeye ni rais wa 2005View attachment 2347951