muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 879
- 551
Tozo ni wizi, hakuna jina lingine zuri unaweza kulipamba.
Mbaya zaidi tozo hizi zinatozwa na serikali dhidi ya watu wake masikini.
Bunge lolote halali lisingeweza kuhalalisha wizi huu wa mchana kweupe dhidi ya raia wake.
Kila 100,000 utakayotoa benk na kumtumia mzazi wao itakuwa na makato yafuatayo:
Kiasi unatoa bank 100,000
Bank charges 2500
18% Vat ya charges 450
Tozo ya wizi 1016
Kutuma pesa Airtel ada 1440 toka Tigo
Tozo ya wizi. 1009
Kutoa 100,000 makato na. Tozo 4690
Jumla yamakato halali na Tozo 11,105 … kwa mwezi makato na a tozo yanaweza kuzidi 100,00
Je, tunaweza jenga uchumi kwa stahili hii . Hapo bado mshahara wa mtu huu ulikatwa kodi ya 9%.
Makato tu kwa mwezi kwa mwalimu wa mshahara wa 400,000 ni zaidi ya 100,000
Hapa pana shida
Tozo ni wizi hakuna jina lingine..
Na anayekata Tozo ni...