Hahahaha za 2014 izoHizi zinazo zagaa hapa 22M yy kauziwa 30M kisa ujuaji
Hahahaha za 2014 izo
Showroom utapigwa, kwa mtu angalau 15-20
Hakuna m'bongo auze gari isio na shida. Hakuna.Na una kuta haina kipengele?
Hakuna m'bongo auze gari isio na shida. Hakuna.
Chief nakuchek DMNjoo nikuuzie premio yangu f
Mkuu si unaenda Tu Motech i, kwa laki moja Tu , unajua kama unauziwa Gari bovu au zimaHakuna m'bongo auze gari isio na shida. Hakuna.
Ulisomea magari?Yeah. Zipo engine tatu, cc 1500, cc 1800 na cc 2000. Zote nzuri bila shida.