Toyota premio ya 2014

Kumbe duh hiv vitu vina wenyeww ase
Yoyote nzuri tu, ila cc zikiongeza ulaji wa mafuta inaongezeka na nguvu ya gari inaongezeka. Ila usijitese sana kufikiria, kama hali ya gari nzuri, chukua.
 
Gari ni kama mke tu unavyo mkunja mkuu...
 
Yoyote nzuri tu, ila cc zikiongeza ulaji wa mafuta inaongezeka na nguvu ya gari inaongezeka. Ila usijitese sana kufikiria, kama hali ya gari nzuri, chukua.

Hii gar ndio mna sema 17M
 

Attachments

  • IMG_7245.jpeg
    91.7 KB · Views: 4
We kijana unataka gari gani?

Nauliza kwasababu kuna ndugu yetu alijifanya mjuaji kauziwa mazda atleza kwa 30M kaja kushutka hivi juizi kuwa alipigwa parefu sana kisa ujuaji mm sio expart upande huo kbsa
 
Nauliza kwasababu kuna ndugu yetu alijifanya mjuaji kauziwa mazda atleza kwa 30M kaja kushutka hivi juizi kuwa alipigwa parefu sana kisa ujuaji mm sio expart upande huo kbsa
Atenza ya Mil 30 labda zile za 2018/19
 
Umeona hiyo juu imeandikwa 1.8X L, inamaana iyo ni cc 1,800 ingeandikwa 1.5X L ni cc 1,500 na ingeandikwa 2.0X L ni cc 2,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…