Toyota premio inauzwa

Toyota premio inauzwa

Alafu umeichunguza vizuri rim ni cover za wheecaps... Akuna rim za sports hapo, seat cover hakuna hapo... Alafu jamaa anajibu jeuri kiatu chenyewe unaweza kuta Akuna safari hapo
Mwaache atuchukulie powa na udalali wake hapo hajawahi kumiliki gar zaidi ya kuuza ya wanaume
 
Mwaache atuchukulie powa na udalali wake hapo hajawahi kumiliki gar zaidi ya kuuza ya wanaume
Hahaha embu kaoshe kwanza uchi ndo uje upovuke, nani hajawahi kumiliki gari mimi ?????? Mwanahizaya mchambia matapishi weee
 
Duh hata mm nimeshangaa nilipanga kutoa ofa kwenye hilo gari nimeahirisha Mara moja
Hairi. Kwanza wee una nuksi. Ungeitia gari nuksi. Kwendraaaa na nuksi zako. Kafe mbele
 
Narejea kukuonya acha kutukana
Nimetukana kwa bahati mbaya NIKAOMBA MSAMAHA, tena sikutukana, nilitumia tu lugha mbaya lakini NIKAOMBA MSAMAHA, sasa bado mnaniandama kwa nini ????? Si nimeomba msamaha bado mnaniandama kwa nn
 
Nimetukana kwa bahati mbaya NIKAOMBA MSAMAHA, tena sikutukana, nilitumia tu lugha mbaya lakini NIKAOMBA MSAMAHA, sasa bado mnaniandama kwa nini ????? Si nimeomba msamaha bado mnaniandama kwa nn
Vijana tunakua na ujasiri bandia sana tukiwa nyuma ya keyboard, ukijiona unapata unaweza kutukana kwa sababu tu mtu amekutajia dau unaanza matusi ujitazame marambil
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom