Toyota mark ii gx 110 inauzwa

Toyota mark ii gx 110 inauzwa

manyaunyau

New Member
Joined
Mar 28, 2008
Posts
3
Reaction score
0
Wanajamvi
Nimeamua kurudi kijijini kuondokana na joto kali la jijini hapa hivyo nauza kagari kangu MARK II GX 110. Bei ni ml. 7.8. Namba ni T 204 BEJ
Napatikana katika simu no 07 86 29 45 45
 
Wanajamvi
Nimeamua kurudi kijijini kuondokana na joto kali la jijini hapa hivyo nauza kagari kangu MARK II GX 110. Bei ni ml. 7.8. Namba ni T 204 BEJ
Napatikana katika simu no 07 86 29 45 45

Weka picha kwanza kabla ya maongozi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom