Tip Master
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 490
- 532
Nimetokea kuvutiwa na toyota ist kwa yeyote mwenye uzoefu nayo naomba anihabarishe uimara wake kabla sijaingia mkenge wapendwa.
Nimetokea kuvutiwa na toyota ist kwa yeyote mwenye uzoefu nayo naomba anihabarishe uimara wake kabla sijaingia mkenge wapendwa.
Mh!hivi inaweza kuimili safari kama ya dar mwanza ambapo ni full lami bila kuchemsha?
loh!!!! kwa hilo sijui , ila najua kuna jamaa yangu ana vitz anatoka nayo songea hadi dar, kama anasimama mahali sijui, then dar hadi arusha, sasa sijui vits na ist kama zinatofautiana sana?
IST ni kubwa kuliko VITZ. Vitz inarange tokea cc 1000 to 1300 hadi 1500 na ndiyo ilirithi Starlet kuanzia mwaka 99. Marekani wanaita Yaris. IST inaitwa PRIUS huko marekani na IST ni jina la soko la Japan. Engine ya ist inarange kuanzia cc 1.3 mpaka 1.8 na zipo hadi AWD. Matumizi yako pekee yanaweza kuamua idumu or isidumu. Kuhusu safari ndefu usijali. Nenda popote as long as ni gari yenye injini inayojipoza.
Nashukuru sana wapendwa.naombeni kujuzwa hivi vipimo vya cc za engine vina huusiano na ulaji wa mafuta?
cc means 'cubic centimeter' of fuel can be accomodated inside gasoline or diesel internal combustion engine.Nashukuru sana wapendwa.naombeni kujuzwa hivi vipimo vya cc za engine vina huusiano na ulaji wa mafuta?
Mh!hivi inaweza kuimili safari kama ya dar mwanza ambapo ni full lami bila kuchemsha?