Toyota hizi...!

RRONDO hii kweli kichapo FC πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ upo sahihi kumiliki Golf GTI! Huu udhalilishaji wa mchana kweupe 4GR imegota 180KPH ila mwenye 260KPH anaendelea kuchanja mbuga
 
Asante kwa thread, umenirudisha nyuma aisee..πŸ₯²πŸ₯²
 
Eeh Crown 180 ni kama maji kushuka kilima 🀣🀣🀣 limetulia ndani kimya ukiwasha na mziki ndio kabisa hutajua.
Kumbe ni jini mkata kamba.. mziki huwa nazima kabisa.. ili niwe na focus.. ila kwa hii thread nimeogopa.. bado sijatumbua raha nyingi.. ila tatizo.. unaweza kuwa unaenda hata 40 to 50.. linakuja boya moja huko na scani inakupiga hadi uvunguni.. bwana haya mambo Mungu tu atuepushe na atulinde.. unaweza ukawa source ya mzinga au wengine wakakubamiza.. ila crown ni konyo sana
 
Hahahaha we unaendeshaje 40 kwe nye 2.5L engine?

Hilo hutakiwi kushuka chini ya 80Kph. Sema ni gari nzuri kwa safari inatembea sana 😁
 
Kuna uzi ulikuwa unawahamasisha wajaribu kumaliza sahani mjini mida ya usiku.
Hatari tupu, huwa najidai kuendesha gari kama wale wanaoendesha VIP.. ila kwa hii thred sirudii tena huu upuuzi
 
Hahahaha we unaendeshaje 40 kwe nye 2.5L engine?

Hilo hutakiwi kushuka chini ya 80Kph. Sema ni gari nzuri kwa safari inatembea sana 😁
Mzee 2.5 L nimemuachia mtu ila huwa nagogengea gongea, sasa hivi najivuta nivute 4.6 .. ila kwa post hii naona kama nimeletwa huku nijifunze... nitajaribu kuwa natembea mwisho 80 .. ila huwa kuna ka mzuka sanaaa basi tu πŸ˜€πŸ˜€
 
Kweli bana ajali haina kinga, unaweza kuwa sahihi na unazingatia usalama ila mwenzio gari ikamshinda akakuletea nzima nzima usoni. Au lorry likayumba na kudondoka kati kati halafu hapo umeiva uko 150KPH hadi kufunga breki unajikuta ushajaa.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ badala ya ku press brake.. unakanyaga zaidi mafuta .. huwa kuna wenge hapo.. au sijui ndio ziraeli anafanyaga yake
 
Umeona wanacheka tu.. na pisi kali... hii huwa sitaki kabisa nikiwa nina drive.. na ndio maana kwenye safari ndefu huwezi kabisa nikuta nipo na mtu.. Extrovert mrangi
Bushmamy
Your browser is not able to display this video.
 
Lakini hebu tuwe kwakweli kuna vipindi barabarani huwa tunashikwa na mzuka na kujisahau kidogo.... Unajistukia tayari uko 170
Vivyo hivyo unajishtukia tayari roho na nafsi zimechomoka na kuuacha mwili πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…