Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 8,596
- 19,019
Haili mafuta mengi linatumia umeme, ukiwa speed 50 kwenda juu ndiyo linakula wese chini ya hapo umeme unatumikaNi nzuri wanaliita mgongo Wa chura...shida linakula sana mafuta
Haili mafuta mengi linatumia umeme, ukiwa speed 50 kwenda juu ndiyo linakula wese chini ya hapo umeme unatumikaNi nzuri wanaliita mgongo Wa chura...shida linakula sana mafuta
Mkuu mimi nataka Cadillac Fleetwood 1985.Mkuu unawza nn sasa
Ahaahaha Mfupa mkavuMkuu mimi nataka Cadillac Fleetwood 1985.
Hahah wa wagumu huo mkuu.Ahaahaha Mfupa mkavu
Gari hii design yake ipo too round aka feminine.Mtazamo wa mtu haupingwi.
Toyota 4runner aka Toyota Hilux Surf. Nadra kuona demu anaendesha hii gari. Toyota Prado pia.Ipi yenye muonekano mzuri kwako?
Du hii kalitayari huku wameigeuza pickupView attachment 975505View attachment 975506
Naomba niwe pembeni ya ndoto yako...kizuri kula na wenzio.Me ndoto yangu ni kumiliki private jet pamoja na ppl licence niruke na kutua popote nitakapo
4 runner au Surf za kuanzia 2004 na kuendelea zimekaa kikazi sana mchuma huo ndo unafaa kuendeshwa na mwanaumeToyota 4runner aka Toyota Hilux Surf. Nadra kuona demu anaendesha hii gari. Toyota Prado pia.