TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,423
- 8,653
Awali ya yote naomba maoni yenu juu ya Toyota harrier G240 hili gari nimekuwa nikilifatilia kwa ukaribu kupitia mitandao ya kijamii YouTube IG
Nimevutiwa nalo soon nahitaji kuingia shows room nikalibebe ila sitaki nikurupuke ambae anamiliki au kuliendesha naomba anipe changamoto zake
Ulaji wa mafuta maintenance nk.....
Karibuni....
Nimevutiwa nalo soon nahitaji kuingia shows room nikalibebe ila sitaki nikurupuke ambae anamiliki au kuliendesha naomba anipe changamoto zake
Ulaji wa mafuta maintenance nk.....
Karibuni....