Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,433
BMW series 7 zina engine kubwa kuliko Toyota Bravis na inakula mafuta kama vitz kilometer 17 per litre
BMW series 7 zina engine kubwa kuliko Toyota Bravis na inakula mafuta kama vitz kilometer 17 per litre
BMW series 7 zina engine kubwa kuliko Toyota Bravis na inakula mafuta kama vitz kilometer 17 per litre
bmw ipi?Kuliko kununua Brevis ya 2500 CC bora nikusanye hela ninunue BMW
Kuliko kununua Brevis ya 2500 CC bora nikusanye hela ninunue BMW
Kuliko kununua Brevis ya 2500 CC bora nikusanye hela ninunue BMW
brevis mashine kubwa man! kwanza jua kuwa brevis zote zinatumia engine ya Jz ambayo ni engine inayotumika katika sport car za toyota mfano toyota supra,
engine ya brevis imegawanyika katika mifumo na ukubwa
2.5L 1JZ-GE I6
2.5L 1JZ-FSE I6
3.0L 2JZ-GE I6
3.0L 2JZ-FSE I6
sasa iyo ya 3.0 ni balaa yani sijui gari gani nilinaweza kukimbiza iyo mashine
kinachowafaya watu wanunue brevis ni perfomance yake yan engine kama unapenda mbio basi nakushaur nunua brevis utafurahi.
Vp mafuta unywaji wake?
bmw ipi?
Sasa kwani hamna BMW ya CC 2500?
7/5/4/3 series. Value for money
Zipo nilikuwa namaanisha bora ninunue BMW gari ya ukweli
Wakuu hivi Mark X mpya kwenye yard za bongo bei gani kwa pesa za madafu?
Wakuu hivi Mark X mpya kwenye yard za bongo bei gani kwa pesa za madafu?
Mpya man pesa nyingi sana lamda 60million
BMW nzir ni M series lakin izi zingine kawaida sana bora subaru wrx sti hatar sana
Hivi mashine kama hiyo inapatikana kwa bei gani?