mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Ls 460 ya mwaka gani unaipenda mkuu?Hizo gari ni nzuri aise. Na bei zake sasa hivi sio kivile, na kodi iko chini. LS460 inavutia, ila bado bei iko juu saana.
Ls 460 ya mwaka gani unaipenda mkuu?Hizo gari ni nzuri aise. Na bei zake sasa hivi sio kivile, na kodi iko chini. LS460 inavutia, ila bado bei iko juu saana.
Ni kweli mkuu na hivi wazitengeneza kwa ushirikiano na subaru nadhani zitakua mkao sana(gt 86=subaru brz),shida iko expensive ila tutasubiri huko miaka ya mbeleni ikishapoa bei kama kawaida yetu mkuu,hahah.Nalijua hilo gari. Hivyo vigari safi saana kama unaendesha for fun. Sasa hivi wametengeneza kingine kinaitwa GT86, kuanzia mwaka 2012. Sasa hivi bado kina gharama saana.
Ni kweli. Najua hata gharama za matunzo zitakuwa juu. Mfano ulinunua ile yenye air suspension, ikizingua gharama yake sio ya kitoto. Ile inafaa mtu mwenye gari zaidi ya moja, analitumia kwenye matukio muhimu tu, sio matumizi ya kila siku.
Aisee umetisha sana mkuu,ngoja nizichek kwny link ntakupa feedback.mzigo huu hapa ninazo video sema zinakataa kuapload nimeamua kukupa links za insta
ile chaser JZX100 1JZ-GTE ya frisby
kenyan subaru N14 kwenye arusha 2 drag racing
frisby EVO 6 rs vs kenyan GTR r 35
frisby aristo 2JZ-GTE 400+ bhp
samiji's ARISTO vs Frisby's ARISTO destination arusha drag racing
fastest subaru in kenya and east africa.... impreza N14 Driven by KENYAN george bett
Hahah dude huwezi jua kama ni tourer V aisee.Hii dude limakaa vizuri saana aise. Unaweza kulikataa kabisa yaani.View attachment 900995
Kuna tourer V mods huko be forward inauzwa usd 15,000 hio CIF tu,hahah.Hii dude limakaa vizuri saana aise. Unaweza kulikataa kabisa yaani.View attachment 900995
inayotolewa na toyota ile gt86 hamna kitu kabisa.... bhp 210 kwa bei ile si bora ununue mark x au crown tu ili chenji ibaki 😂😂....Ni kweli mkuu na hivi wazitengeneza kwa ushirikiano na subaru nadhani zitakua mkao sana(gt 86=subaru brz),shida iko expensive ila tutasubiri huko miaka ya mbeleni ikishapoa bei kama kawaida yetu mkuu,hahah.
Hahah sasa mkuu tofauti ya brz na gt 86 iko kwny nini hasa maana naona ilikua ni joint project ya toyota na subs.inayotolewa na toyota ile gt86 hamna kitu kabisa.... bhp 210 kwa bei ile si bora ununue mark x au crown tu ili chenji ibaki ....
sema gt86 ni nzuri kama unataka kuigeuza project car inakubali tuning vizuri sana ila ikiwa stock ni good looking slow car
brz was more powerful na ilikuwa limited edition only few units produced...Hahah sasa mkuu tofauti ya brz na gt 86 iko kwny nini hasa maana naona ilikua ni joint project ya toyota na subs.
soma kwenye 4U uone hyo engine ilivyo na power ndogo 195-210 sasa hapa siunaenda sambamba na mwenye kialteza cha 3S-GE 😂Hahah sasa mkuu tofauti ya brz na gt 86 iko kwny nini hasa maana naona ilikua ni joint project ya toyota na subs.
mkuu nilikubishia bure asee kumbe zote zikiwa stock ni 195- 205 bhp..Hahah sasa mkuu tofauti ya brz na gt 86 iko kwny nini hasa maana naona ilikua ni joint project ya toyota na subs.
brz was more powerful na ilikuwa limited edition only few units produced...
baada ya hapo wakamwachia toyota akaendelea na gt86 kila kitu sawa na brz tofauti ni perfomance tu...
soma kwenye 4U uone hyo engine ilivyo na power ndogo 195-210 sasa hapa siunaenda sambamba na mwenye kialteza cha 3S-GE
ndio maana gt86 ikabatizwa jina la good lookin slow car
gt86 ukiikuta ina badge ya subie brz ujue imefanyiwa tuning toka kiwandani very rare to find
Toyota U engine - Wikipedia
Aisee kumbe this time brz iliingizwa cha kike aisee.mkuu nilikubishia bure asee kumbe zote zikiwa stock ni 195- 205 bhp..
kumbe zile brz limited edition ziliuzwa chache ... then subaru akaendelea kutoa standard brz ambazo ni the same kila kitu hadi power na gt86
wanaanza kuzingua nimeona kwenye forums za wadau wa JDM wanaiponda hyo supra inayokuja ... wanasema imepoteza ule mwonekano signature ya supraDaah aisee toyota walibugi ni sawa tu acha iitwe"good lookin' slow car",hahah.
Nimeona Supra inayotegemea kua debuted 2019 itakua ni joint project ya Toyota na Bmw Z4 na engine itakua ni za Bmw(zote in inline).
Ya 4 clyinder turbo charged itatoa 263 hp na ya 6 clyinder turbo charged itatoa hp 335.
I don't know why japs wanazi abandon engine zao zilizokua easy to modify na cheap to maintain,ukianza kuweka engine za Bimma ndipo complications naona zitaanzia hapo.
hyo gari walipozingua ni engine tu.... maana mtu akifikiria hyo bei yake alafu eti unapata bhp 205 anaona mizinguoAisee kumbe this time brz iliingizwa cha kike aisee.
Inshort hii miaka ya karibuni toyota hawako serious na gari zilizowapa heshima.wanaanza kuzingua nimeona kwenye forums za wadau wa JDM wanaiponda hyo supra inayokuja ... wanasema imepoteza ule mwonekano signature ya supra
kweli kabisa.... wamekuwa kama hawajiamini hiviInshort hii miaka ya karibuni toyota hawako serious na gari zilizowapa heshima.
Wanaume wa Dar jamani!!?? Yaani mnajadili gari la miaka 20 iliyopita kweli? Duh!!!Duu! Pole saana. Nawish Bongo kungekuwa na race track tuwe tunakwenda kujiachia huko. Sisi magari yetu tunakimbizana kwenye barabara za magari mengine, matokeo yake ajali zinakuwa nje nje.
Ha ha ha ha huyo jamaa Golf Gti ngoja ajeHizo modifications sio za kitoto aisee.
Lkn Kuna jamaa humu jf mpenzi wa golf gti atakwambia toyota hakuna kitu njòo huku kwa wajerumani,teh teh
Hahah nadhani umeshamjua mkuu.Ha ha ha ha huyo jamaa Golf Gti ngoja aje