Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,921
mzee asante sana kwa informations.kwa maelezo niliyosoma humu nikichanganya na zangu.nimeamua tu ninunue altezaa ya 1GFE. 2JZ GTE nimefuatilia nimeona ni ngumu kupatikana.3SG nimeona wanasema mafuta msala.kuna hela nimepata nimeamua nichukue 1GFE then niiweke fresh nibadilishe na exhaust.swali la mwisho.inawezekana kufanya modifications na kuweka turbo kwenye 1GFE?Yes. Dsm utapata. Nafikiri inaweza kuanzia 1.5 au 2m.