Kizazi jeuri JF-Expert Member Joined May 16, 2013 Posts 297 Reaction score 64 Jul 9, 2013 Thread starter #21 Transporter said: mkuu bei inapungua? Click to expand... Yaaaa boss wangu...
M Mussa Mujule Member Joined Jul 9, 2013 Posts 22 Reaction score 2 Jul 9, 2013 #22 Nakupatia gari yangu ya Nadia na Million 2unasemaje kwa hilo. Uki kubariana tuwasiliane kwa simu namba 0717059813
Nakupatia gari yangu ya Nadia na Million 2unasemaje kwa hilo. Uki kubariana tuwasiliane kwa simu namba 0717059813
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 73,229 Reaction score 103,332 Jul 11, 2013 #23 Kizazi jeuri said: Yaaa kaka hizo kutoka Japan hazijaguswa.. Click to expand... Nimekuelewa Je imetembea km ngapi hadi sasa?
Kizazi jeuri said: Yaaa kaka hizo kutoka Japan hazijaguswa.. Click to expand... Nimekuelewa Je imetembea km ngapi hadi sasa?
Mtingaji JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 1,223 Reaction score 367 Jul 11, 2013 #24 Weka detail za kutosha na foto tushuhudie jinsi ilivyo! Fanya biashara kidigitali!
Nyaubwii JF-Expert Member Joined Sep 16, 2011 Posts 229 Reaction score 55 Jul 12, 2013 #25 Hapa hamna wanunuzi. Sijui lakini labda wewe unaweza kubahatisha mwenzetu. Kila la kheri mkuu